Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Jana nilikwenda kujaza mafuta kwenye gari yangu nikakuta mafuta yamepanda bei!
Nawahurumia watanzania kwani humu jamii nikiona watu wanasifia ccm eti wamepata viongozi wazuri nawashangaa.
Wapigania maendeleo ya nchi hii tunakazi kubwa ya watanzania kujitambua kwanza, na kujua maendeleo ninini, na kufanikiwa kwa uongozi ni vitu gani vinaashiria mafanikio.
KWELI HALI NZURI YA MAISHA ITABADILIKA KWA VIONGOZI WETU TULIONAO? HEBU TUPEANE MAWAZO TUTAJIKOMBOAJE? MBONA KADRI CKU ZINAVYO ZIDI SONGA MBELE WATANZANIA HALI INAKUWA MBAYA? HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUTUMIKA?
Nawahurumia watanzania kwani humu jamii nikiona watu wanasifia ccm eti wamepata viongozi wazuri nawashangaa.
Wapigania maendeleo ya nchi hii tunakazi kubwa ya watanzania kujitambua kwanza, na kujua maendeleo ninini, na kufanikiwa kwa uongozi ni vitu gani vinaashiria mafanikio.
KWELI HALI NZURI YA MAISHA ITABADILIKA KWA VIONGOZI WETU TULIONAO? HEBU TUPEANE MAWAZO TUTAJIKOMBOAJE? MBONA KADRI CKU ZINAVYO ZIDI SONGA MBELE WATANZANIA HALI INAKUWA MBAYA? HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUTUMIKA?