kupigakazi
Member
- Sep 17, 2014
- 53
- 10
Jameni wandugu naomba kufahamishwa bei ya mafuta ya mawese dumu LA ltr 20 kutoka mkoan mbeya pale sokomotola au mwanjelwa Sido kwa anaye fahamu tafadhari
Mbosa au mawese yenyewe...Jameni wandugu naomba kufahamishwa bei ya mafuta ya mawese dumu LA ltr 20 kutoka mkoan mbeya pale sokomotola au mwanjelwa Sido kwa anaye fahamu tafadhari
Unahitaji kiasi gani?Jameni wandugu naomba kufahamishwa bei ya mafuta ya mawese dumu LA ltr 20 kutoka mkoan mbeya pale sokomotola au mwanjelwa Sido kwa anaye fahamu tafadhari
Ltr 20 kwanza nipe beiUnahitaji kiasi gani?
Nahitaji mawese yenyewe tu ni sh ngapi?Mbosa au mawese yenyewe...
Mbosa dumu 48,000 nilinunua bei hiyo December Kwa sasa sijajua.
Kama unataka mengi nenda kyela!
Hayo mnayoita mbosa nadhani ndo tunaita mise!!Nahitaji mawese yenyewe tu ni sh ngapi?
NdioHayo mnayoita mbosa nadhani ndo tunaita mise!!
Asante kwa taarifa hiyo. Sasa nilikuwa naomba unituie no yako kama hautojariMkuu nilichelewa kukujibu, huko bush ni sh 20 elfu tu bila udalali