Bei ya mafuta: TRA, TBS, TPA, EWURA ndio chanzo: Pata ukweli hapa

Tatizo la viongozi wetu wa nchi sijui hua wanashauriwa na nani?
Serikali ilianza economic reform tangu mwaka 1990 na imeanzisha institutions nyingi tu kwa ajili ya kuhakikisha markets forces inafanya kazi katika uchumi....Leo hii wamerudi tena kwenye zile enzi za arusha declaration za kusimamia masoko au planning economy!! Kwa kweli ni aibu sana kwa serikali kuingilia bei za mafuta kabla hawajajipanga ni wapi alternative source ya energy itapatikana.

Ingetakiwa serikali iingilie na kupanga bei za nishati kwa kuanzisha chombo chake kitakachouza mafuta na ku compete na private sector au kwa kuwapa private sector subsides (tax free) ili washushe bei za mafuta...serikali mnataka kushusha bei za nishati wakati kodi hamjapunguza hata kidogo....

Sasa angalieni nchi haina petrol wala umeme ....je hapo ndo kumjali mwananchi wa kawaida au ndo mmezidi kumuua??
Leave the market forces to determine the price....Mwananchi atakayeona petrol kwake siyo sahihi atauza gari yake na kununua baiskeli...thats how market work

Kuna kitu kinaitwa NATIONAL STRATEGIC OIL RESERVE hili ilijadiliwa na Bunge miaka 2 au 3 iliyopita lakini sijui liliishia wapi!! http://www.mem.go.tz/MEM SP EDITED Dodoma Final 05.11.2010 - leo.pdf kulitakiwa kuwe na chombo cha Serikali ambacho kingeagiza na kuifadhi mafuta kwa ajili ya akiba kwa matumizi wakati wa maafa kama sasa, baada ya hawa wafanyabiashara wa wese kuonyesha kibuli.

Sasa ni wakati wakuipatia COPEC fedha ya kutosha, ili kuagiza na kuifadhi wese kwa ajili ya kujiandaa na migomo ya mwaka ujao. Nadhani leo hii waarabu/wafanyabiashara wakigoma kuiuzia mafuta US, hawatatikisika hata kidogo kwani wana akiba ya mafuta iliyopitiliza ambayo wanaweza wakatumia zaidi ya miaka 15... Wakuu haya ni madhara ya ubinafsishaji wa mashirika yetu nyeti katika sekta hii ya mafuta, sasa ni nani wa kulaumiwa? Tuamke sasa, na tuache kufikiria kwa makalio!

According to the United States Energy Information Administration, approximately 4.1 billion barrels (650,000,000 m[SUP]3[/SUP]) of oil are held in strategic reserves, of which 1.4 billion is government-controlled. The remainder is held by private industry. At the moment the US Strategic Petroleum Reserve is one of the largest strategic reserves, with much of the remainder held by the other 26 members of the International Energy Agency. Other non-IEA countries have begun creating their own strategic petroleum reserves, with China being the largest of these new reserves.

Since current consumption levels are neighboring 0.1 billion barrels (16,000,000 m[SUP]3[/SUP]) per day, in the case of a dramatic worldwide drop in oil field output as suggested by some peak oil analysts, the strategic petroleum reserves are unlikely to last for more than a few months.

In Africa, South Africa has an SPR. It is managed by PetroSA and the primary facility is the Saldanha Bay oil storage facility, which is a major transit point for oil shipping. Saldanha Bay's six in-ground concrete storage tanks give the facility a storage capacity of 45,000,000 barrels (7,200,000 m[SUP]3[/SUP]).

Malawi
is considering creating a 21-day reserve of fuel, which is an expansion from the current five day reserve. The government has begun planning for storage facilities in the provinces of Chipoka and Mchinji as well as Kamuzu International Airport.
Kenya is setting up a Strategic Fuel Reserve, similar to that of cereals. The strategic stocks would be procured by the National Oil Corporation of Kenya and stored by the Kenya Pipeline Company Limited.

Embu angalia majirani zetu walivyotupiga bao!
Kenya Pipeline Company (KPC) is a state corporation that has the responsibility of transporting, storing and deliveringpetroleum products to the consumers of Kenya by its pipeline system and oil depot network.

The Kenya Pipeline Company was incorporated on 6 September 1973 and started commercial operations in 1978. The company is a state corporation under the Ministry of Energy with 100% government shareholding.

Kenya Pipeline Company operates a pipeline system for transportation of refined petroleum products from Mombasa to Nairobiand western Kenya towns of Nakuru, Kisumu and Eldoret. Working closely with the National Oil Corporation of Kenya, KPC operates 5 storage and distribution depots for conventional petroleum products, located in Eldoret, Kisumu, Mombasa, Nairobi and Nakuru. Depots are fed by domestic-manufactured product from the Kenya Petroleum Refinery near Nairobi and imported, refined petroleum product from the Kipevu Oil Storage Facility near Mombasa. The company operates two aviation fuel depots at Jomo Kenyatta Airport, Nairobi, and Moi International Airport, Mombasa

In collaboration with the Government, KPC facilitates the implementation of Government policies:
  • Acts as a Government agent in specific projects as directed through the Ministry of Energy. To this end, the company works with the government in the implementation of key projects such as the extension of the Oil Pipeline to Uganda and the LPG import handling and storage facilities.
  • Assists in the fight against fuel adulteration (uchakachuaji) and dumping.
  • Ensures efficient operation of petroleum sub-sector.
Unlike some state corporations, KPC does not depend on government subsidies, but is a source of revenue to the government in terms of dividends and taxes.
 
NENG'ULI, shame upon your face! Mimi nakuonya kwa kutaka kutupotosha. Hesabu zako umezitazamia na ni za kupikwana! Alokutuma akutakii mema. Unajenga hoja kwa misingi potofu. Ukweli wako uko wapi?

Swali la msingi eleza bei ya lita moja hadi Bandarini ni bei gani? Na kila lita 1 kwa wastani chagre zake zikoje, na ni kiasi gani? Tunajua kuna admin costs. Hvo hasara ni kiasi gani. Kumbuka usipike tarakimu kwa sababu wewe ufanyi kazi TRA, wala TBS, EUWRA wala bandari. Kwa kuwa umeanzisha mjadala huu unawajibika kutoa majibu sahihi.
 
Man!..I fell asleep,nilipoamka na kusoma conclussions watu walizofikia,I was so diappointed with my people.
Especially the ones who were sympathetic to oil retailers.I don't know how they reached that conlussion but it's just not right.
The dealer's margin is what we need to look for.Last month's compared to this month's.
I wish those Neng'ulis will come back and settle this emperically.
 
First of all Nenguli asante kwa kuleta taarifa ingawa baadhi ya watu badala ya kubishana na hoja zako wanakushambulia wewe pole sana....

Sidhani kama kuna mtu atabisha kwamba nchi hii ni kazi kufanya biashara sababu ya uzembe wa bandari as well as rushwa na kutokuwajibika..., Mfanyabiashara (binadamu) always ni mtu wa tamaa na anatafuta the possible maximum profit..., na jinsi ya kumzuia ni kuongeza competition na sio kumpangia bei..., kama kweli serikali inaona hawa jamaa wanafaidika na super profit kwanini na wenyewe wasiingie kwenye hii biashara na kuuza mafuta at the lowest possible price ili kuleta competition ili tuone kama bei hazitashuka...

Wale wanaosema mafuta yakishuka duniani na wenyewe washushe (this is not charity, and the world does not work like that) kama mnataka free market then let demand and supply set up the price..., na jinsi ya kufanya hivi ni kuongeza supply kwa kuwawezesha wafanyabiashara zaidi au serikali kuingia kwenye hii biashara na sio kuforce bei ishuke..., kitakachotokea ni supply kupungua, demand kuongezeka na bei kupanda

Serikali need to sort out themselves here and we are blaming the wrong people here, na kuacha the real culprit ambae ni serikali
Mkuu VOR nimeipenda sana hiyo kauli kwenye red.

Ni angalizo la muhimu sana lakini hata hivyo sio fair kwa wafanyabiashara kuwanyonya wananchi kwa sababu tu ya umoja wao na uwezo wao wa kutumia loopholes zilizopo. Ni kweli unachoongea kuhusu free market lakini kwa nchi maskini kama tanzania ni rahisi sana kwa wafanyabiashara kama wa mafuta kupanga bei kwa manufaa yao binafsi.

Na hili saa nyingine linatokea hata katika mataifa makubwa, kwa mfano kuna kipindi fulani Microsoft ilishitakiwa kwa kutumia mbinu chafu kuhodhi soko la software na kujaribu kuua kampuni ndogo zinazochipukia kwa kutumia uwezo wake mkubwa wa kifedha( I stand to be corrected).

My take:
Japokuwa ni kweli kuwa kuna matatizo mengi yanayochangiwa na serikali, lakini hii haiondoi ukweli kuwa wafanyabiashara wa mafuta nao kwa namna moja au nyingine wanatufanyika uhuni katika uendeshaji wa biashara hii.
 
kwa mfano kuna kipindi fulani Microsoft ilishitakiwa kwa kutumia mbinu chafu kuhodhi soko la software na kujaribu kuua kampuni ndogo zinazochipukia kwa kutumia uwezo wake mkubwa wa kifedha( I stand to be corrected).

My take:
Japokuwa ni kweli kuwa kuna matatizo mengi yanayochangiwa na serikali, lakini hii haiondoi ukweli kuwa wafanyabiashara wa mafuta nao kwa namna moja au nyingine wanatufanyika uhuni katika uendeshaji wa biashara hii.
Ukweli mkuu lakini tofauti na Microsoft ilikuwa ni kwamba kampuni ilikuwa Monopoly.., yaani Microsoft alikuwa ni the only supplier wa products za operating system kwahiyo watu wakataka kampuni igawanyishwe ili kupunguza monopoly yake... na ingekuwa vigumu kuongeza competition sababu product belongs to one supplier na ni vigumu kuamka tu asubuhi na kuja na better product.

Lakini hapa serikali inaweza kutoa msaada au ruzuku kwa wafanyabiashara wengi wengine waingie kwenye hii biashara na kuhakikisha kunakuwa na regulation ya kuhakikisha hawapangi bei.

Kutokana na historia mahali pote imeonyesha kwamba competition inafanya bei ishuke na pia historia imeonyesha kwamba kupangia bei wauzaji kunasababisha quality mbovu na uchakachuaji mkubwa, sababu hakuna incentive ya kuvutia watu wanunua bidhaa yako as bei itakuwa sawa.

Na mara nyingi kunafanya kunakuwa na shortage ya bidhaa na kuwepo kwa black market
 
Yap, misikiti nayo inaunga mkono mgomo wa mafuta, well ati 'Hatukubali serikali na EWURA yake' kuonea wamisikiti, well nyie si mnaweza lala misikitini tu popote, mnaendesha magari kwenda wapi?
Watch your language......Remember you have been warned.
 
Ukweli mkuu lakini tofauti na Microsoft ilikuwa ni kwamba kampuni ilikuwa Monopoly.., yaani Microsoft alikuwa ni the only supplier wa products za operating system kwahiyo watu wakataka kampuni igawanyishwe ili kupunguza monopoly yake... na ingekuwa vigumu kuongeza competition sababu product belongs to one supplier na ni vigumu kuamka tu asubuhi na kuja na better product.

Lakini hapa serikali inaweza kutoa msaada au ruzuku kwa wafanyabiashara wengi wengine waingie kwenye hii biashara na kuhakikisha kunakuwa na regulation ya kuhakikisha hawapangi bei.

Kutokana na historia mahali pote imeonyesha kwamba competition inafanya bei ishuke na pia historia imeonyesha kwamba kupangia bei wauzaji kunasababisha quality mbovu na uchakachuaji mkubwa, sababu hakuna incentive ya kuvutia watu wanunua bidhaa yako as bei itakuwa sawa.

Na mara nyingi kunafanya kunakuwa na shortage ya bidhaa na kuwepo kwa black market
Hiyo nyekundu sio kweli kwa sababu serikali haimlazimishi kila mtu auze mafuta kwa bei fulani, isipokuwa kilichofanyika ni kuhakikisha kuwa bei haizidi kiwango kilichowekwa. Kwa hiyo kama ni ushindani utakuwepo tu kwa bei ambazo ni chini ya hizo zilizowekwa na serikali.
 
Baada ya kupata Tangazo kuhusu BP ndio mtaamini nani alipandisha Bei ya mafuta akiwa kwenye nyumba ndogo yake akizani inawezekana, mbona Serikali yenyewe imeona hakuna faida, na kwamba itapata hasara kubwa???
Tuhoji zaidi kuliko kulipuka.....
 
Man!..I fell asleep,nilipoamka na kusoma conclussions watu walizofikia,I was so diappointed with my people.
Especially the ones who were sympathetic to oil retailers.I don't know how they reached that conlussion but it's just not right.
The dealer's margin is what we need to look for.Last month's compared to this month's.
I wish those Neng'ulis will come back and settle this emperically.



Vipi umeamka baada ya kuona serikali yenyewe ( 50% BP 50% Serikali) imegona kupata hasara kwa kuuza kwa bei ya EWURA??
Next time uwe unaelewa mambo si kukurupuka tuu
 
angalia ITV UTAJUA HOJA YANGU HAPO, TAZAMA JAMAA WA EWURA ANAVYODANGANYA WANANCHI
 
ukiwafumbua macho wanaona umetumwa haya kaeni na ujinga wenu

Nenguli you are very right. Kumbuka kama BP wanalipa kodi zote bila kuacha senti. Haya makampuni mengine uswahili mwingi na rushwa ndio biashara. Haya ni makosa ya serikali. Ingetakiwa ikae na makampuni kama BP wengine na kujadiliana si kutoa amri bei ishuke wakati wamechukua mafuta bei ya juu na kulipa kodi zote. Kampuni zenye heshima kama Shell na BP hazina hongo kwa EWURA au mamlaka yoyote. Hizi kampuni zingine inawezekana zimehonga lakini BP thubutu hutapewa hata thumni make zina moral ethics za juu na kulinda majina yao isichafuliwe. Yaani ukiwa mwelewa wa haya mambo ukaona EWURA inavorukia haya mambo kumtafutia Ngeleja ujiko kidogo inakutia kichefuchefu. Kwa ujinga huu makampuni makubwa ambayo yana ajira nzuri na zikilipa kodi pasipo kona zinaondoka tunaachiwa makampuni za wizi na rushwa za kihindi na kiarabu ambazo kwasabu ya uovu wao wako radhi kupiga magoti kwa serikali manake wakifuatiliwa ni balaa.
 
The issue hapa ni kuwa its tougher to do business in Tanzania than any country in East Africa

hampendi transparency na mnapenda rushwa sasa watu wakishatoa rushwa unategemea watarejesha vipi pesa zao?

I doubt if Haruna is a doctor of Phd. Hivi anapoagiza BP kufungiwa ila wafanyabiashara wa vituoni wa BP a kupata mafuta ya kuuza kutoka makampuni mengine anajua anachokiongea?

Dealer ni authorized na BP atanunua mafuta vipi kutoka makampuni mengine? Haya mambo ya kuhadaiwa na wanasiasa ndio inaifilisi USA sasa hivi. Badala ya kwenda kwenye misingi ya uchumi ambayo ni machungu wanasiasa wa Republicans wamewaghilibu wamarekani kwa maneno matamu lakini hayaleti mafaniko kiuchumi mwishowe wametumbukia kwenye shimo la dowgrade. masoko yanayumba na kazi watazikosa.

Inashangaza hapa Tanzania watu wanawashangilia wanasiasa kuwafungia wafanya biashara lakini hawajui mwisho wa siku serikali ndio imesababisha matatizo haya.
 
Ukweli wa bei yamafuta kupanda umeonekana waziwazi, na ndio hali halisi kuwa EWURA walikurupuka, na leo wamepandisha bei zaidi ya ile iliyokuwepo mwanzo: TUPANZE SAUTI ZETU
 
Ukweli wa bei yamafuta kupanda umeonekana waziwazi, na ndio hali halisi kuwa EWURA walikurupuka, na leo wamepandisha bei zaidi ya ile iliyokuwepo mwanzo: TUPANZE SAUTI ZETU


naona umefurahishwa sana na kupanda kwa bei, kuwa mzalendo
 
Back
Top Bottom