Mkuu soma kwanza thread basi kabla hujadakia kujibu.unataka chumba kimoja, viwili, vitatu au nyumba nzima? kama unataka nyumba nzima, apo andaa si chini ya laki tano kwa mwezi, kama chumba kimoja huwezi pata, au ukipata ni laki moja au si chini ya hamsini...kama vyumba viwili self, laki na nusu...balaa hapo aisee...
Mkuu soma kwanza thread basi kabla hujadakia kujibu.
Nina nyumba ya one bedroom,sitting room and toilet ndani na ina tiles ndani,je nitaipangisha kwa kiasi gani?ipo maeneo ya sinza kwa remmy na mimi nipo mza sa c mzoefu wa huko.
Thanx wakuu,nikija dar ntawacheki ili kama kuna mtu atahitaji nimuachie akiipenda,miezi sita tu atatoa