Katika msimu huu wa kuuza kahawa kanda ya kaskazini, bei ya kahawa imeshuka kutoka Tshs 5000 kwa msimu wa 2011/12 hadi Tsh 2000 kwa msimu wa mwaka 2012/13. Wakulima wengi wanalia kwa kupata hasara na wengine wanafikiria kungoa miche ya kahawa au kuitelekeza kama ilivyowahi kutokea miaka ya nyuma.
Je, Ni nini kimesababisha anguko hili? Je inahusika na kuchelewa kwa mishahara ya wafanyakazi au ni mchwa walioko ndani ya vyama vya ushirika? Au kwa sababu ya mikutano ya juzi?
Je, Ni nini kimesababisha anguko hili? Je inahusika na kuchelewa kwa mishahara ya wafanyakazi au ni mchwa walioko ndani ya vyama vya ushirika? Au kwa sababu ya mikutano ya juzi?