M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Mwenye kunfahamu naomba anifahamishe, sababu gani zimesababisha kupanda kwa ghafla kwa bei za hisa za benki ya DCB.
Mwezi january 2010 zilikuwa zinatrade kwa Tshs. 240 lakini ghafla mwezi huu wa 9 zimepaa hadi Tshs. 600.
Je, hii inatokana na investors confidence?
Mwezi january 2010 zilikuwa zinatrade kwa Tshs. 240 lakini ghafla mwezi huu wa 9 zimepaa hadi Tshs. 600.
Je, hii inatokana na investors confidence?