Bei ya gari aina Toyota Harrier Lexus

Olumolongez

JF-Expert Member
Dec 19, 2015
818
294
Habari za jioni wana JF.kichwa cha habari chahusika.Naomba kujua bei ya gari aina ya Toyota Harrier Lexus tangu kuagiza hadi kuingia barabarani au ikiwa yard hapahapa bongo.Natanguliza shukrani.
 
Habari za jioni wana JF.kichwa cha habari chahusika.Naomba kujua bei ya gari aina ya Toyota Harrier Lexus tangu kuagiza hadi kuingia barabarani au ikiwa yard hapahapa bongo.Natanguliza shukrani.
Nashukuru sana Malimingii ntapataje hiyo website yenye calculator ya TRA?
 
Nimefata ushauri wako Malimingii lkn gharama ya hiyo gari hadi ingie barabarani imeniletea 29 m/=tshs hadi nimechanganyikiwa
 
Habari za jioni wana JF.kichwa cha habari chahusika.Naomba kujua bei ya gari aina ya Toyota Harrier Lexus tangu kuagiza hadi kuingia barabarani au ikiwa yard hapahapa bongo.Natanguliza shukrani.
Ingawa Lexus ni kiwanda cha Toyota, Lakini hakuna Toyota Harrier Lexus. Nilishawahi kuwa na Lexus RX300 ya 2006 ambayo inafanana na Toyota Harrier Hybrid ya miaka hiyo hiyo, lakini zinatofautiana bei na spare kadhaa kama radiator. Lexus RX300 ina bei ya juu kiasi ukilinganisha na Toyota Harrier Hybrid.
 
Kitu kizuri gharama mkuu. Jipange na uweke malengo utafika tuu.
Kwa nn usinunue Harrier ya kawaida ambayo ni version kama ya hiyo lexsus? At least bei zake ni reasonable
Inaweza ikawa bei gani boss wangu?Alafu nasikia kuna six cylinder na four cylinder unawezaje kulitambua?
 
Unaweza mkuu kutambua kama unajua aina za engine, kuwa makini usije ukaingia mkenge ukakuta unanunua ile ya cc3000 mjin patakua pagumu kwa mafuta. Ngoja nikuchekie rough figure i will be back soon
 
Hapo kaka una mix vitu viwili. Harrier na Lexus RX.
Zote ni Toyota ila ni magari tofauti ingawa kwa muonekano yanaonekana sawa.
Sawa na Altezza na Lexus IS200.
Sina utaalamu sana kujua tofauti zao ila bei zao hazitofautiani sana.
Pia, unaweza kua na option ya tatu, ukadaka Toyota Kruger naona shape na bei hazitatofautiana sana na Harrier.
Hafu, usisahau kutajaga mwaka maana magari haya yanatofautiana sana Bei kutokana na Generation
 
Back
Top Bottom