Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
Wakuu heshima mbele,
Nauliza hivi kiwandani wazo cement, wanauzaji kwa tani 1, yaani 20 bags, nina kisehemu nauza cement, nadhani nikiwa nanunua direct kiwandan walau ka profit katapanda panda, na pia utaratibu wa kununua huko kiwandani upoje?
Tafadhali kwa anaefahamu naomba msaada.
Nauliza hivi kiwandani wazo cement, wanauzaji kwa tani 1, yaani 20 bags, nina kisehemu nauza cement, nadhani nikiwa nanunua direct kiwandan walau ka profit katapanda panda, na pia utaratibu wa kununua huko kiwandani upoje?
Tafadhali kwa anaefahamu naomba msaada.