nimekuelewa mkuu na je kwanini waziite alienware kwamba zinauwezo mkubwa sana kama alien 👽 au janja za biasharaZote ni bora kinachoangaliwa ni specs. Kwenye laptop ni ngumu kukuta vitu fake fake kama simu.
Alienware ni kama Apple kuna Brand tax, Nyingi ni milioni 4 kupanda.
Janja tu ya bishara, specs ni zile zile mkuu, zipo rog, omen, nitro, legion etcnimekuelewa mkuu na je kwanini waziite alienware kwamba zinauwezo mkubwa sana kama alien 👽 au janja za biashara
tuma na kapicha bas tuvijue wengine mkuu
zipo ila bei ghali, bora uagizishieNa kwanini hizi gaming laptop bongo hapa dsm hazipatikani kirahisi mkuu
duuh sawa mkuu na vp kuhusu msi ni gaming nzuri maana napenda ule wembamba wake mkuuzipo ila bei ghali, bora uagizishie
Asus TUF F15 Gaming Laptop with 8GB Graphics – Epic Computers
epiccomputers.co.tz
mfano hio 4.8m, amazon around 1.5k usd hivyo unaona jinsi wanavyopiga bei
Brand zote zina gaming laptop nyembamba mkuu, sababu cpu za kisasa hazihitaji nafasi kubwa sana kuzipoza.duuh sawa mkuu na vp kuhusu msi ni gaming nzuri maana napenda ule wembamba wake mkuu
Shukrani sana mkuu nmekuelewa lakin pia nisaidie hapa pc nayotumia uwa sometimes inaganda ya baada ya kutumia je tatizo ni nini mkuuBrand zote zina gaming laptop nyembamba mkuu, sababu cpu za kisasa hazihitaji nafasi kubwa sana kuzipoza.
Na msi ni kampuni kubwa sana kwenye gaming industry, hivyo hawana shida.
I Kiganda fungua task manager halafu angalia ram, cpu, storage kama kuna hata kimoja kimejaa 100% ama kinakaribia.Shukrani sana mkuu nmekuelewa lakin pia nisaidie hapa pc nayotumia uwa sometimes inaganda ya baada ya kutumia je tatizo ni nini mkuu
I Kiganda fungua task manager halafu angalia ram, cpu, storage kama kuna hata kimoja kimejaa 100% ama kinakaria
Memory naona ipo 83 asilimia hii ina maana gan mkuu? kwa cpu naona 13 ad 23 na disk 5 asilimia nisaidie mkuuI Kiganda fungua task manager halafu angalia ram, cpu, storage kama kuna hata kimoja kimejaa 100% ama kinakaribia.
Ina maana ram ni ndogo, unatakiwa kuongeza ram ama kama ram ni kubwa kuna program inakula sana ram.Memory naona ipo 83 asilimia hii ina maana gan mkuu? kwa cpu naona 13 ad 23 na disk 5 asilimia nisaidie mkuu
Kama 30,000 hivi 4gb ram.Lakin pc ina ram 4gb nataka niweke ifike gb Iwe 8 inawezekana au kwa hp elitebook ina core 5 je bei shingap kwa ram ya gb4