The Planner
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 357
- 118
Siasa inapoingia katika masuala ya msingi, tunaelekea kuua taifa letu! leo tunaambiwa bei ya unit 1 ya umeme inapanda kwa asilimia 18, so kutoka ilipo karibu Shs. 129 tunaelekea Shs.160 kwa unit moja and then tuna matumaini ya kuvuka kutoka uchumi unaotegemea kilimo kuwa industrial led economy, Jamani acheni kuchakachua mambo ya msingi kama ikiwezaka EWURA si ife tu!