mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,661
- 18,035
Imekuwa ni desturi kwa Ewura kuwa inatangaza bei ya mafuta bila uwazi kwa namna ilivyokokotoa bei mpya.
Hii inasababisha kukoss uhalisia wa bei hiyo ukilinganisha na bei ya dunia.
Bei mpya iliyotangazwa ya petrol ni imepungua kwa sh 166/= tu likiwa ni punguzo la asilimia 7.5%. Lakini kwenye soko la dunia mafuta yamepungua kwa asilimia 51%.
Tulitegemea bei pia ingepungua kwa asilimia takriban hiyo hiyo 51% au karibu na hiyo na hivyo bei ya lita moja ya petroli ingeuzwa kwa takriban sh 1100/= tu.
Ninawapa changa moto Ewura wajitokeze hadharani na kutoa maelezo ya kina kwa nini bei pia isishuke kwa kuakisi ilivyoshuka kwenye soko la dunia na waweke wazi mahesabu yao yaliyopelekea bei hiyo ya juu sana ukilinganisha na bei ya soko duniani.
Nazialika taasisi nyingine za kiuchunguzi nazialika pia zichunguze jambo hili ambalo naona kama vile lina harufu ya sintofahamu! Lakini pia walaji/wanunuzi/watumiaji waa mafuta tuwe macho hapa kunafuka moshi. Ushahidi wa bei ya mafuta duniani kushuka kwa asilimia 51% huu hapa:
Crude Brent prices fell in March
In March of 2020, price of Brent crude was 32.15$ per barrel, while the price was 56.21$ dollars per barrel in February of 2020. Over last twelve months the price has fallen 51.39%.
Hii inasababisha kukoss uhalisia wa bei hiyo ukilinganisha na bei ya dunia.
Bei mpya iliyotangazwa ya petrol ni imepungua kwa sh 166/= tu likiwa ni punguzo la asilimia 7.5%. Lakini kwenye soko la dunia mafuta yamepungua kwa asilimia 51%.
Tulitegemea bei pia ingepungua kwa asilimia takriban hiyo hiyo 51% au karibu na hiyo na hivyo bei ya lita moja ya petroli ingeuzwa kwa takriban sh 1100/= tu.
Ninawapa changa moto Ewura wajitokeze hadharani na kutoa maelezo ya kina kwa nini bei pia isishuke kwa kuakisi ilivyoshuka kwenye soko la dunia na waweke wazi mahesabu yao yaliyopelekea bei hiyo ya juu sana ukilinganisha na bei ya soko duniani.
Nazialika taasisi nyingine za kiuchunguzi nazialika pia zichunguze jambo hili ambalo naona kama vile lina harufu ya sintofahamu! Lakini pia walaji/wanunuzi/watumiaji waa mafuta tuwe macho hapa kunafuka moshi. Ushahidi wa bei ya mafuta duniani kushuka kwa asilimia 51% huu hapa:
Crude Brent prices fell in March
In March of 2020, price of Brent crude was 32.15$ per barrel, while the price was 56.21$ dollars per barrel in February of 2020. Over last twelve months the price has fallen 51.39%.