entrepreneur2005
New Member
- Nov 18, 2020
- 1
- 0
Serikali imeweka bei elekezi kwa cement kwamba isizidi 15,000 kwa mfuko mmoja. Bei hiyo haijalishi ni cement aina gani. Kuna aina kuu mbili zinazouzwa ambazo ni 42.5 na 32.5. Kwa wajenzi wengi cement ya 42.5 ndio inapendwa lakini bei yake ipo juu.
Kwa wauzaji wa rejareja bei elekezi ya 15,000 kwenye cement 42.5 haina faida yoyote. Naamini serikali inaweka mkakati ili kwenye ujenzi wa kawaida huku mitaani itumike 32.5 na hiyo ya 42.5 iende kwenye miradi mikubwa kama SGR, NYERERE DAM, TANZANITE BRIDGE n.k well and good, lakini mawakala wa cement wameamu kuuza wao kwa bei elekezi 42. 5@15,000 na 32.5@14,500.
Ina maana wenye maduka madogo wengi hawataweza kufanya biashara na watapunguza wafanyakazi wao huku mawakala wakifaidi soko walitongenezewa na serikali.
Nimefanya utafiti huu kwa kukagua maduka na mawakala kutoka Ferry-Kigamboni mpaka Mikwambe.
Hoja hujibiwa kwa hoja.
Cheers.
Kwa wauzaji wa rejareja bei elekezi ya 15,000 kwenye cement 42.5 haina faida yoyote. Naamini serikali inaweka mkakati ili kwenye ujenzi wa kawaida huku mitaani itumike 32.5 na hiyo ya 42.5 iende kwenye miradi mikubwa kama SGR, NYERERE DAM, TANZANITE BRIDGE n.k well and good, lakini mawakala wa cement wameamu kuuza wao kwa bei elekezi 42. 5@15,000 na 32.5@14,500.
Ina maana wenye maduka madogo wengi hawataweza kufanya biashara na watapunguza wafanyakazi wao huku mawakala wakifaidi soko walitongenezewa na serikali.
Nimefanya utafiti huu kwa kukagua maduka na mawakala kutoka Ferry-Kigamboni mpaka Mikwambe.
Hoja hujibiwa kwa hoja.
Cheers.