BEI CHEE MNO: JE LAPTOPS ZA BONGO NI ZA WIZI AU FEKI??? .

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Hizi laptops kwenye maduka mengi ya hapa town huwaga na bei ndogo sana ukilinganisha na bei za online stores za kidunia kitu ambacho kinaumiza kichwa sana.

Kwa mfano laptop kama HP yenye processor za core i5 - 7th generation hapa bongo madukani zinauzwa laki 7 ila nikisech kwenye mitandao kibao kama eBay na amazon na hata gum tree na sijakuta kabisa hata bei inayokaribia kwa unafuu bei za hapa bongo.

Sasa najiulizaga sana, je hizi laptops ni za wizi au ni feki.
 
Hizi laptops kwenye maduka mengi ya hapa town huwaga na bei ndogo sana ukilinganisha na bei za online stores za kidunia kitu ambacho kinaumiza kichwa sana.

Kwa mfano laptop kama HP yenye processor za core i5 - 7th generation hapa bongo madukani zinauzwa laki 7 ila nikisech kwenye mitandao kibao kama eBay na amazon na hata gum tree na sijakuta kabisa hata bei inayokaribia kwa unafuu bei za hapa bongo.

Sasa najiulizaga sana, je hizi laptops ni za wizi au ni feki.
Bongo Nyosoo.
 
Nyingi wanazouza maduka ya wasomali ni REFURBISHED ila huwa hawaweki wazi wateja wao, ni mara chache wanaandika au kusema. Hata iphones na Samsung nyingi zilizojaa kariakoo ni refurbished kutoka China ila wanawaambia wateja ni mpya.
Ila kuwa refurbs sio tatizo, inategemea zimefanyiwa wapi nyingine ni manufacturer ndio hufanya repairs nyingine ni third parties.

1.PNG

2.PNG
 
Nyingi wanazouza maduka ya wasomali ni REFURBISHED ila huwa hawaweki wazi wateja wao, ni mara chache wanaandika au kusema. Hata iphones na Samsung nyingi zilizojaa kariakoo ni refurbished kutoka China ila wanawaambia wateja ni mpya.
Ila kuwa refurbs sio tatizo, inategemea zimefanyiwa wapi nyingine ni manufacturer ndio hufanya repairs nyingine ni third parties.

View attachment 988417
View attachment 988418
Mkuu yani nimehangaika mitandao mingi sana kupata pc refurbinished ila zinakuwa na bei mno kuliko hizi za bongo, unakuta pc refurbinished mtandaoni ni dola 500 ila ukija bongo pc ni laki 7 (dola 300), hapo kuna utafauti mkbwa sana almost dola 200 (zaidi ya laki 4)
 
Hilo halina ubishi mkuu, lakini ukienda hata gumtree ama ebay kucheki pc ambazo ni refurbinished bado huwa zina bei kubwa kuliko hizi za bongo
Kuna kampuni za huko nje wanauza kwa bei ndogo sio lazima uwakute ebay, search vizuri wauzaji wa refurbs kwa jumla utaona kuna bei ndogo tofauti na unazoziona ebay.
 
Kuna kampuni za huko nje wanauza kwa bei ndogo sio lazima uwakute ebay, search vizuri wauzaji wa refurbs kwa jumla utaona kuna bei ndogo tofauti na unazoziona ebay.
Mkuu nimetafuta sana bila mafanikio,,,,Nisaidie please
 
Mkuu yani nimehangaika mitandao mingi sana kupata pc refurbinished ila zinakuwa na bei mno kuliko hizi za bongo, unakuta pc refurbinished mtandaoni ni dola 500 ila ukija bongo pc ni laki 7 (dola 300), hapo kuna utafauti mkbwa sana almost dola 200 (zaidi ya laki 4)
Huwezi kupata kwasababu unataka moja tu, kama unataka kwa ajili ya biashara lets say 50pcs na kuendelea huko ndipo wanatengeneza faida, na maduka mengi kariakoo ni ya wasomali mara nyingine huagiza mzigo mkubwa kwa pamoja kwa hiyo unawezapata picha.
 
Huwezi kupata kwasababu unataka moja tu, kama unataka kwa ajili ya biashara lets say 50pcs na kuendelea huko ndipo wanatengeneza faida, na maduka mengi kariakoo ni ya wasomali mara nyingine huagiza mzigo mkubwa kwa pamoja kwa hiyo unawezapata picha.
kwa sasa nipo mbeya mkuu, maduka yapi wana pc nzuri kwa bei chee hapo dar?
 
Hizi laptops kwenye maduka mengi ya hapa town huwaga na bei ndogo sana ukilinganisha na bei za online stores za kidunia kitu ambacho kinaumiza kichwa sana.

Kwa mfano laptop kama HP yenye processor za core i5 - 7th generation hapa bongo madukani zinauzwa laki 7 ila nikisech kwenye mitandao kibao kama eBay na amazon na hata gum tree na sijakuta kabisa hata bei inayokaribia kwa unafuu bei za hapa bongo.

Sasa najiulizaga sana, je hizi laptops ni za wizi au ni feki.
Moja kati ya laptop miaka michache iliopita zilikuwa zinakaa sana na charge ni thinkpad x240. Ilikuwa inakaa na chaji hadi masaa 24 na battery zake mbili.

Nimeikuta kariakoo duka la msomali inauzwa 420k kuiwasha inakaa na chaji masaa 2,hapo hufanyi chochote ukichomeka modem ustream video pengine ikae nusu saa tu.

Mambo haya unayakuta huku kwetu tu.

Kifupi hata refurbished hazistahili kuitwa hivi ni vifaa vibovu wanakuja kuvidump huku kwetu. Inabidi mtu uwe makini sana.

Na hata wakiuza used misemo yao ni ile ile utaskia imetumika miezi miwli tu (core 2 duo). Hawaaminiki hata kidogo.
 
Moja kati ya laptop miaka michache iliopita zilikuwa zinakaa sana na charge ni thinkpad x240. Ilikuwa inakaa na chaji hadi masaa 24 na battery zake mbili.

Nimeikuta kariakoo duka la msomali inauzwa 420k kuiwasha inakaa na chaji masaa 2,hapo hufanyi chochote ukichomeka modem ustream video pengine ikae nusu saa tu.

Mambo haya unayakuta huku kwetu tu.

Kifupi hata refurbished hazistahili kuitwa hivi ni vifaa vibovu wanakuja kuvidump huku kwetu. Inabidi mtu uwe makini sana.

Na hata wakiuza used misemo yao ni ile ile utaskia imetumika miezi miwli tu (core 2 duo). Hawaaminiki hata kidogo.
hapo nimekupata kiongozi,,,,Ila kuna hp hapa ninayo ni pavalion 450 g4 core i5: 7th generation nlinunua kwa laki saba tu, kuna rafiki yangu pia aliagiza laptop brand new model kama yangu kwa milioni 2....kuna kipindi alisafiri alinisachia ile laptop yake, kiukweli sikuona utofauti hata kidogo na hii yangu ya laki 7 japo najua ni refurbinished,,,,,,

,Any way to cut it short, Mkuu naomba unisaidie kama unajua source ya hizi laptops maana mimi nimehangaika sana kutafuta supplier wa hizi laptops ila nimefeli,
 
Hizi laptops kwenye maduka mengi ya hapa town huwaga na bei ndogo sana ukilinganisha na bei za online stores za kidunia kitu ambacho kinaumiza kichwa sana.

Kwa mfano laptop kama HP yenye processor za core i5 - 7th generation hapa bongo madukani zinauzwa laki 7 ila nikisech kwenye mitandao kibao kama eBay na amazon na hata gum tree na sijakuta kabisa hata bei inayokaribia kwa unafuu bei za hapa bongo.

Sasa najiulizaga sana, je hizi laptops ni za wizi au ni feki.
Hizo ni used laptop ndo utakutana na hiyo bei, lakini new brand bei imesimama na imechangamka sana
 
Back
Top Bottom