VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Wadau mimi nakubaliana kabisa na usemi hapo juu (ukibahatika kupata mwenzako mwenye Busara) basi ni msingi mkubwa wa maendeleo……… Na Opposite pia ni kweli Kama mwenza hafai hata ufanyeje hautafika popote
Kwahiyo kina dada wenzetu tuache kulaumu kwamba huyu jamaa yangu hafai huenda wewe ndio tatizo au hata kama ni yeye wewe unauwezo wa kumuweka katika mstari ulionyooka (athough uenda akawa hana shukrani akinyokewa akakutosa)
Kumbuka ingawa wanasema a Man is the HEAD of the Family…. Lakini Pia wanasema mwanamke ni shingo na ana uwezo wa kumgeuza mwanaume.
Kwahiyo kina dada wenzetu tuache kulaumu kwamba huyu jamaa yangu hafai huenda wewe ndio tatizo au hata kama ni yeye wewe unauwezo wa kumuweka katika mstari ulionyooka (athough uenda akawa hana shukrani akinyokewa akakutosa)
Kumbuka ingawa wanasema a Man is the HEAD of the Family…. Lakini Pia wanasema mwanamke ni shingo na ana uwezo wa kumgeuza mwanaume.