Behind every successful man, there is a wise woman

VoiceOfReason

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,194
1,355
Wadau mimi nakubaliana kabisa na usemi hapo juu (ukibahatika kupata mwenzako mwenye Busara) basi ni msingi mkubwa wa maendeleo……… Na Opposite pia ni kweli Kama mwenza hafai hata ufanyeje hautafika popote

Kwahiyo kina dada wenzetu tuache kulaumu kwamba huyu jamaa yangu hafai huenda wewe ndio tatizo au hata kama ni yeye wewe unauwezo wa kumuweka katika mstari ulionyooka (athough uenda akawa hana shukrani akinyokewa akakutosa)

Kumbuka ingawa wanasema a Man is the HEAD of the Family…. Lakini Pia wanasema mwanamke ni shingo na ana uwezo wa kumgeuza mwanaume.
 
Inategeme ndugu yangu. Wanaume wenyewe hawa wa kizazi kipya! Ni kweli mwanamke ana nafasi kubwa ya kumbadilisha mme tatizo cku hizi tumejuana mwezi tu tunataka kuwekana ndani. By the time unajua weaknesses za mwenzako unakuwa ushachoka unafungasha virago.
Mafanikio yatakuja sa ngapi.
 
Inategeme ndugu yangu. Wanaume wenyewe hawa wa kizazi kipya! Ni kweli mwanamke ana nafasi kubwa ya kumbadilisha mme tatizo cku hizi tumejuana mwezi tu tunataka kuwekana ndani. By the time unajua weaknesses za mwenzako unakuwa ushachoka unafungasha virago.
Mafanikio yatakuja sa ngapi.

Kila mtu anaweaknesses sasa hata huko utakapoenda utakuta matatizo je utahama mara ngapi si bora ukabaki pale na kuzifanyia kazi hizo weaknesses
 
Ndugu mi nakuunga mkono ni kwel kabisa ili mwanaume aweze kuwa na mafanikio anahtaji kuwa na mke mwenye hekima na busara.
 
Kila mtu anaweaknesses sasa hata huko utakapoenda utakuta matatizo je utahama mara ngapi si bora ukabaki pale na kuzifanyia kazi hizo weaknesses

Ni kweli kabisa katika mahusiano lazima kila mmoja azitambue weakness za mwenzake na kuzikubali na kurekebishana. pia kumuona mwenzako mbaya kwa weakness zake hiyo nayo ni weakness pia, so tunapaswa kuchukuliana madhaifu yetu kila mmja.
 
Ndugu mi nakuunga mkono ni kwel kabisa ili mwanaume aweze kuwa na mafanikio anahtaji kuwa na mke mwenye busara na busara.

Ndio maana nasema kina dada kuliko kulalamika kuhusu partners wao na kutafuta mwingine au kumuongezea stress kwa malalamiko ni bora wamsome mwenza wao na kujaribu kuwa rafiki na sio kuwa strangers wanaoshare kitanda
 
La msingi tunapaswa kutambua kuwa mke au mume sahihi ni yule aliye tayar kuwa na wewe ktk hali yoyote na sio yule asie na kasoro. kwa sabab hakuna asiye na kasoro.
 
La msingi tunapaswa kutambua kuwa mke au mume sahihi ni yule aliye tayar kuwa na wewe ktk hali yoyote na sio yule asie na kasoro. kwa sabab hakuna asiye na kasoro.

kweli kabisa Mkuu
"Perfect Love is not Finding a Perfect Partner, but Loving an Imperfect one Perfectly"
 
Practically imposible!

Its comes from the notion that nobody is perfect therefore unless you agree me there is no such thing as perfect love. Otherwise the only way around it is to love someone with all their imperfections.
 
Wadau mimi nakubaliana kabisa na usemi hapo juu (ukibahatika kupata mwenzako mwenye Busara) basi ni msingi mkubwa wa maendeleo……… Na Opposite pia ni kweli Kama mwenza hafai hata ufanyeje hautafika popote……

Kwahiyo kina dada wenzetu…. tuache kulaumu kwamba huyu jamaa yangu hafai… huenda wewe ndio tatizo…… au hata kama ni yeye wewe unauwezo wa kumuweka katika mstari ulionyooka (athough uenda akawa hana shukrani akinyokewa akakutosa)

Kumbuka ingawa wanasema a Man is the HEAD of the Family…. Lakini Pia wanasema Mwanamke ni Shingo na ana uwezo wa kumgeuza mwanaume.

mmmh yani minecheka kwa sauti ya juu mpaka jamii iliyonizunguka ikanishangaa
we haka kamsemo ka shingo nani kasema jamani, mara tuitwe michomoko mara shingo mara moyo mmmh sasa bado dekio tu maana vingastu ni sie na kwa sasa jina linalo vuma ni KINGAMUZI...
 
Mh jamani, wapo watu very wise and admirable lakini wake/waume zao ni vimeo hadi unashangaa...

Wisdom ina categories nyingi..... mfano mzuri ni Bill Clinton alivyopata ile kesi yake na Monica... ni kwamba mke wake alistand by his man na in public alikuwa anamtetea lakini ndani Jamaa alipewa faini ya kulala kwenye kochi for some time. Hapa point yangu ingekuwa Hilary angekuwa mapepe nayeye angeanza kulalamika kwenye vyombo vya habari na kumuangamiza zaidi mume wake.

Je najiuliza mke wa Tiger Woods angekuwa Hilary na Mke wa Bill angekuwa mke wa Tiger kungekuwa na different outcomes ???
 
ni kweli kabisa katika mahusiano lazima kila mmoja azitambue weakness za mwenzake na kuzikubali na kurekebishana. Pia kumuona mwenzako mbaya kwa weakness zake hiyo nayo ni weakness pia, so tunapaswa kuchukuliana madhaifu yetu kila mmja.

he madhaifu yako beba huko
mie siwezi madhaifu daily
likiisha dhaifu hili
unazua dhaifu lile
loool mi ntaweza wapi mie
kukonda tu na madhaifu ya mtoto wa mwanamke mwenzangu
huyo ni mtu mzima mwenzangu...............wan jf msinifiki rie vibaya mi ni mwadhirika wa ndoa
 
he madhaifu yako beba huko
mie siwezi madhaifu daily
likiisha dhaifu hili
unazua dhaifu lile
loool mi ntaweza wapi mie
kukonda tu na madhaifu ya mtoto wa mwanamke mwenzangu
huyo ni mtu mzima mwenzangu...............wan jf msinifiki rie vibaya mi ni mwadhirika wa ndoa
Ni kweli kuna watu hawabebeki.... na wana visa vya ajabu ajabu inakuwa vigumu kuvumilia..... lakini wengine wanaume ni wakawaida wana weaknesses ndogo ndogo lakini badala ya wake zao kuwasaidia na kuwaweka sawa wanazidi kuwasimanga na kuwaongezea stress. Wanawake ni viumbe walioumbwa na huruma.... ni rahisi kusamehe, na kama wakitumia busara wanweza kumbadilisha mtu asiyefaa akawa mtu wa mafanikio mfano unakuta mtu anakazi ambayo sio nzuri na haina kipato sana, kuliko mwanamke kumsimanga kwamba jamaa mvivu anaweza kumpa moyo na ushauri kwamba atafute kazi bora au afanye bidii....
 
Wisdom ina categories nyingi..... mfano mzuri ni Bill Clinton alivyopata ile kesi yake na Monica... ni kwamba mke wake alistand by his man na in public alikuwa anamtetea lakini ndani Jamaa alipewa faini ya kulala kwenye kochi for some time. Hapa point yangu ingekuwa Hilary angekuwa mapepe nayeye angeanza kulalamika kwenye vyombo vya habari na kumuangamiza zaidi mume wake.

Je najiuliza mke wa Tiger Woods angekuwa Hilary na Mke wa Bill angekuwa mke wa Tiger kungekuwa na different outcomes ???

In principle nakubaliana na wewe, japo issue ya Woods na Clinton sidhani kama zinaweza kulinganishwa... Woods alizidi, unless ni nymphomaniac so achukuliwe kama mgonjwa.

Pia niliposema "vimeo" it included ulevi kupindukia, kutohudumia familia, ugomvi etc. Kwa kweli kuwa watu wamebeba mizigo mikubwa maishani mwao...
 
Its comes from the notion that nobody is perfect therefore unless you agree me there is no such thing as perfect love. Otherwise the only way around it is to love someone with all their imperfections.

If you can avoid many imperfection (patner) avoid sooner than late

Go for least imperfect

Imperfection is a relative term though..
 
This Topic is very good i wish all members could bring such topics here in JF so that every one could lerab from here, cheers to VoiceOfReason for your Topic!
 
Behind Every Stupid and unresponsible man..............................there is.......................
 
Behind Every Stupid and unresponsible man..............................there is.......................

Depends kama kuna mdau mmoja hapo juu alisema kuna mizigo mingine haibebeki mtu anakuwa useless kabisa.

Lakini ukweli ni kwamba kama ndoa nyumbani inasumbua hata ukiwa jasiri vipi lazima effect zake zitakwenda kwenye kazi zako nyingine.
 
Back
Top Bottom