Ehhh embu njoo huku haraka kabla hicho kibegi hakijaibiwa!!!
Karibu na asante NDT!Yani tunayosema hapa wala si magumu ila hua tunasahau tu kwamba tunachangia sana kumfanya mtu awe bora zaidi au kumharibu!Hahahaha hiyo avatar haihitaji maelezo kwa baba mchungaji bwana.. maana tulipiga mara ya mwisho tuko pamoja!
Na bado anapendeza pamoja na uzee!Ngoja atoke Guantanamo tutapiga mupya!Inaonekana Rev wakati junky alikuwa balaa....nimeelewa ni kwanini you lost yourself amid the jungle in quest for Rev.
Hongereni mmetoka vizuri sana...natamani kuona ya sasa hivi uzeeni na Rev Masa
Na bado anapendeza pamoja na uzee!Ngoja atoke Guantanamo tutapiga mupya!
Sasa tutafanya nini na kina dada wanaotaka kuwa vichwa!? ambao wanaona kuwa hainogi na haiwi sawa hadi wawe kama wanaume.
Hahahahah!Hiyo ilikua kazi Bigie..ila naona kazembea mpaka ukajihami!
uporoto01 acha kupiga chabo MODS hawapendi
Umeniona eeeh! hata kama sichangii inabidi nisicheze mbali kuna hawa wakina Kituko,Biggie na sasa NDtz wanaanza vizuri mwisho wanatupa ndoano.
Hahaha! yaani Lizzy nina wakati mgumu we acha tu alipotea mwezi mzima nikadhani harudi tena naanza kwako na umeanza kunielewa ghafla karudi Can we be friends now lol!Sasa Uporoto inabidi ubadilishe kila ulipoandika Lizzy unadike CM!!Au unataka :yell:kesi???
Hahaha! yaani Lizzy nina wakati mgumu we acha tu alipotea mwezi mzima nikadhani harudi tena naanza kwako na umeanza kunielewa ghafla karudi Can we be friends now lol!
Kazi nn bana! unatamani kukabwa au kupigwa roba?Kazi kweli kweli
ndo maana nakupenda shingo yangu...........nigeuzie popote utakapo najua patakua penye malisho yenye majani mabichi na chemichemi za maji baridi, na ardhi yenye rutubaSasa???Are we stil on?:suspicious:
and behind a crappy woman?Posibly a very ANGRY WOMAN or NO ONE at all!
and behind a crappy woman?