taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
Utaitwa pinga pinga huruhusiwi kuhoji.Walishatoa ufafanuzi kuhusu hili... fatilia
Utaitwa pinga pinga huruhusiwi kuhoji.Walishatoa ufafanuzi kuhusu hili... fatilia
NakubaliUkipata nafasi Hama afrika umasikini Ni kitu kibaya yaani kansa mbaya ama ugonjwa wakuogopwa kuliko magonjwa yote
HakikaHalafu muandae watu wa kutosha kusimamia wabongo ndani ya hayo mabehewa!
Maana wengi wamezoea maisha ya kuharibu haribu tu vitu, kutokana na kukosa ile culture of care and maintainance.
Muonekano mbaya! Rangi mbaya! Watanzania sijui shida iko wapi! Yaani utafikiri ni mabehewa ya msaada!!Behewa 14 za SGR zimeanza kuwasili nchini Tanzania kutoka nchini Korea View attachment 2424514
Behewa 14 za SGR zaanza kuwasili nchini tanzania kutokea nchini Korea Kusini.
Tunaweza mkuukwamba hizi behewa kama hivyo zinavyoonekana hatuwezi kuzitengeneza hapa bongo? mbona mabasi wanaunda mabodi? au si kuunda behewa tu tupu halina injini.
Sasa hivi iko hivi;Ni jambo jema,
Ngoja ije ile team ya Pinga pinga FC tuone itasemaje.
Watanzania, kuanzia mtoto hata mtumzima, akiona kitu kizuri atakijaribu kwa kuharibu kwanza. Tuna safari mrefu sana.! ...inawezekana uharibifu wetu ikawa sababu ya kuletewa mabehewa ya kizamani hivi tena kuvuka bahari? 🤔Halafu muandae watu wa kutosha kusimamia wabongo ndani ya hayo mabehewa!
Maana wengi wamezoea maisha ya kuharibu haribu tu vitu, kutokana na kukosa ile culture of care and maintainance.
kuna mabasi mazuri kabisa yanaundwa bodi hapa bongo, wanauza hadi kenya, kwamba kuunda tu behewa hizi ambazo ni sawa tu na kuunda matrailer ya malori n.k au mabodi ya mabasi, ndio tuagize toka ulaya yaliyochakaa?Tunaweza mkuu