Sijaona Tunda Damu hapo,hapo kuna mboga za sukuma wiki,bilinganya,muwa,tikiti,nyanya na yao.haahahhaah matunda damu !dah
duh bas iringa tunayaita matunda damu mkuu !yana taste ya uchachu !Sijaona Tunda Damu hapo,hapo kuna mboga za sukuma wiki,bilinganya,muwa,tikiti,nyanya na yao.
Hayo matunda unayoyaona yanaitwa "Magongwe" au Upareni wanayaita "Kilaume".
Hutumika kuongeza uchachu kwenye mboga,ni mazuri sana kwenye kuweka kwenye ule mlenda wa kusagwa.Kwa aina ya "Content" ya vilivyomo katika begi,muhusika atakuwa Msambaa au Mpare...Mbeya hakuna "Magongwe/Kilaume"....
Hili ni begi la Msambaa wa Lushoto kule Mtae au Vudee kwa akina Mdee
Jamani si kasema tu limepatikana .. msimnukuu vibaya vilivyomo havina tatizo tunajua hata sisiVina umuhimu kwake ndio maana kavibeba
Hivyo ndio vya muhimu kwake kwa wakati husika!
Vina umuhimu kwake ndio maana kavibeba
dah umenikumbusha mbali sana GT. Yani hayo maeneo 2007-2008 kale kabarabara ukitokea mombo nakupandisha juu nakuanza njia nyembamba ndefu pembeni ya mlima ukiangalia chini roho inadunda. Dah Mlalo Mabugaye.Sijaona Tunda Damu hapo,hapo kuna mboga za sukuma wiki,bilinganya,muwa,tikiti,nyanya na yao.
Hayo matunda unayoyaona yanaitwa "Magongwe" au Upareni wanayaita "Kilaume".
Hutumika kuongeza uchachu kwenye mboga,ni mazuri sana kwenye kuweka kwenye ule mlenda wa kusagwa.Kwa aina ya "Content" ya vilivyomo katika begi,muhusika atakuwa Msambaa au Mpare...Mbeya hakuna "Magongwe/Kilaume"....
Hili ni begi la Msambaa wa Lushoto kule Mtae au Vudee kwa akina Mdee