Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
Katika baadhi ya mijadala nimeshawishika kuamini kuwa watu wengi kwenye mahusiano wana mapungufu ya jinsi ya kuwasiliana. Kwa hiyo kuna ulazima wa kuwa na kungwi au wataalamu wa kutusaidia katika hili. Mimi siyo mmoja wao lakini naamini naweza kuwa na ushuhuda wa maisha yangu!
Inaeleweka kabisa katika jamii zetu kwamba wanaume hunogesha maongezi yao wakati wanapata moja baridi na moja ya moto. Katika kikao cha namna hiyo hata mambo makubwa yanaweza kujadiliwa bila kuzua jazba. Je wanawake hongea mambo yao wapi na lini? Je mambo ya ndani (katika mahusiano) yanaweza kuongelewa wakati wowote na kwa lugha (pamoja na tune) yoyote?
Inaeleweka kabisa katika jamii zetu kwamba wanaume hunogesha maongezi yao wakati wanapata moja baridi na moja ya moto. Katika kikao cha namna hiyo hata mambo makubwa yanaweza kujadiliwa bila kuzua jazba. Je wanawake hongea mambo yao wapi na lini? Je mambo ya ndani (katika mahusiano) yanaweza kuongelewa wakati wowote na kwa lugha (pamoja na tune) yoyote?