Beda baada ya ukabila sasa umehitimisha kwa kumweka Eric mwanao kuila UCC?

Lunyungu

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
8,873
1,894
Ni dakika chache zimepita tangu nitoke pale UCC kuomba huduma ya wireless.Nikiwa naelekea huko nikawasikia akina mama 2 wanalia wanasema Uhaya na umimi umetawala UCC na Eric anawanyanyasa sana watu hapo . Ana dharau na majibu ya kuua mtu . Mimi sikujali nikasema wache nifike nitafute huduma ili Mjasiriamali mimi niweze kupeta kwa huduma ya wireless. Wandugu sikaumini kwamba kila kona ya ofisi niliangukia mkononi mwa Mhaya na hatimaye kwa Eric mtoto wa kuzaa wa Beda ambaye sasa anakamilisha ukabila katika UCC na kubadili sura nzima na kuifanya mali ya familia .

Mkandara uko hapo naamini unalijua mbona husaidii uko kimya ? Uhaya huu umepigiwa kelele sana hadi tumeamua kufanya investigation kujua kunani . Jamani hapa kuna watu wa UCC na UDSM kwa ujumla tusaidieni kujua kulikoni ?
 
Ni dakika chache zimepita tangu nitoke pale UCC kuomba huduma ya wireless.Nikiwa naelekea huko nikawasikia akina mama 2 wanalia wanasema Uhaya na umimi umetawala UCC na Eric anawanyanyasa sana watu hapo . Ana dharau na majibu ya kuua mtu . Mimi sikujali nikasema wache nifike nitafute huduma ili Mjasiriamali mimi niweze kupeta kwa huduma ya wireless. Wandugu sikaumini kwamba kila kona ya ofisi niliangukia mkononi mwa Mhaya na hatimaye kwa Eric mtoto wa kuzaa wa Beda ambaye sasa anakamilisha ukabila katika UCC na kubadili sura nzima na kuifanya mali ya familia .

UCC uhaya per see,kuna kijana mmoja nimepewa data zake na watu wa ndani wa UCC alifeli hapo mlimani ila sasa hivi anafundisha UCC,anaitwa Laweaance Lyaruka..Mtoa habari hapa ananiambia kiajana alidisco pale Mlimani,ila aliajiriwa kwasababu ni mhaya,na yuko UCC ya pale mjini..mtoa habari kasema atanipa majina ya wahaya wote waliopo UCC
 
Ni dakika chache zimepita tangu nitoke pale UCC kuomba huduma ya wireless.Nikiwa naelekea huko nikawasikia akina mama 2 wanalia wanasema Uhaya na umimi umetawala UCC na Eric anawanyanyasa sana watu hapo . Ana dharau na majibu ya kuua mtu . Mimi sikujali nikasema wache nifike nitafute huduma ili Mjasiriamali mimi niweze kupeta kwa huduma ya wireless. Wandugu sikaumini kwamba kila kona ya ofisi niliangukia mkononi mwa Mhaya na hatimaye kwa Eric mtoto wa kuzaa wa Beda ambaye sasa anakamilisha ukabila katika UCC na kubadili sura nzima na kuifanya mali ya familia .

Mkandara uko hapo naamini unalijua mbona husaidii uko kimya ? Uhaya huu umepigiwa kelele sana hadi tumeamua kufanya investigation kujua kunani . Jamani hapa kuna watu wa UCC na UDSM kwa ujumla tusaidieni kujua kulikoni ?


Is that University Computing Center?


Watu tulieleweshwa kwa hoja za msingu humu kuwa Idadi ya Watu wa kabila fulani mahali fulani SIO Ukabila. Sasa nyie mnataka kuja tena na hoja zenu zipi hasa?
 
Ni dakika chache zimepita tangu nitoke pale UCC kuomba huduma ya wireless.Nikiwa naelekea huko nikawasikia akina mama 2 wanalia wanasema Uhaya na umimi umetawala UCC na Eric anawanyanyasa sana watu hapo . Ana dharau na majibu ya kuua mtu . Mimi sikujali nikasema wache nifike nitafute huduma ili Mjasiriamali mimi niweze kupeta kwa huduma ya wireless. Wandugu sikaumini kwamba kila kona ya ofisi niliangukia mkononi mwa Mhaya na hatimaye kwa Eric mtoto wa kuzaa wa Beda ambaye sasa anakamilisha ukabila katika UCC na kubadili sura nzima na kuifanya mali ya familia .

Mkandara uko hapo naamini unalijua mbona husaidii uko kimya ? Uhaya huu umepigiwa kelele sana hadi tumeamua kufanya investigation kujua kunani . Jamani hapa kuna watu wa UCC na UDSM kwa ujumla tusaidieni kujua kulikoni ?

Uliwasikia kizecomedy huwawashia taa?....weka klia wooz erick,Beda.....
 
Ni dakika chache zimepita tangu nitoke pale UCC kuomba huduma ya wireless.Nikiwa naelekea huko nikawasikia akina mama 2 wanalia wanasema Uhaya na umimi umetawala UCC na Eric anawanyanyasa sana watu hapo . Ana dharau na majibu ya kuua mtu . Mimi sikujali nikasema wache nifike nitafute huduma ili Mjasiriamali mimi niweze kupeta kwa huduma ya wireless. Wandugu sikaumini kwamba kila kona ya ofisi niliangukia mkononi mwa Mhaya na hatimaye kwa Eric mtoto wa kuzaa wa Beda ambaye sasa anakamilisha ukabila katika UCC na kubadili sura nzima na kuifanya mali ya familia .

Mkandara uko hapo naamini unalijua mbona husaidii uko kimya ? Uhaya huu umepigiwa kelele sana hadi tumeamua kufanya investigation kujua kunani . Jamani hapa kuna watu wa UCC na UDSM kwa ujumla tusaidieni kujua kulikoni ?

Mara hii hukuomba msaada wa polisi "wawakamate?"....

On the serious note hivi hii nayo ni siasa? au ndio tushafungua floodgate kila mtu anamwaga upupu...
 
Mara hii hukuomba msaada wa polisi "wawakamate?"...
.


Alitumia mbinu za kipolisi...aliwawashai taa wakasimama ndio akazidaka hizo nyeti...

On the serious note hivi hii nayo ni siasa? au ndio tushafungua floodgate kila mtu anamwaga upupu

Hii ndio JF Mkuu
 
Mimi si mhaya na nnauchukia ukabila ile mbaya kwani nimewahi kujikuta nakuwa victim simply b'coz of my tribe. Kwa bahati nzuri Beda Mutagahywa alikuwa mwalimu wangu wa Production Engineering third year pale mlimani. Kwa kifupi nnaweza kukuhakikishia Beda ana mapenzi zaidi na Engineering kuliko labda hata huo uhaya. That time late 90's kazi kwa wahandsi mitambo ilikuwa ni ishu lakini Beda liconvince watu wengi tu kujiunga from that field kwenda UCC, hiyo nayo ililalamikiwa sana. Hatukuuona ukabila hapo. Well watu walipata ajira kutoka uhandisi na hasa wale aliokuwa akiwafundisha bila kujali kabila. Na for your information UCC ilianza kufly mpaka hii leo unavyoiona. Watu wengi huwa wanafikiri UCC ilianza in late 90's nope hata Beda aliipokea kwa watu pale mathematics and computing iliyokuwa chini yaokwa miaka zaidi ya kenda na ilikuwa inaelekea kufa. Hawakuweza hata kufungua kajishule ka kutosheleza walau watu ishirini. Kumbuka huu ndio muda computer revolution ilianza kutake place Tanzania.

Mafanikio ya Beda

1. Alifanikisha kujenga lile jengo zuri,la kwanza na la aina yake UDSM.

2. Amefanikisha kufungua UCC's Mwanza, Arusha , Mbeya, Dar city centre.

3. Kinamna nyingine amesaidia kuipa hadhi ile idara iliyokuwa inamiliki UCC.

kWA KIFUPI MIMI NASEMA HAYO NI MAJUNGU NA NAMSHAURI PROF. BEDA MUTAGAHYWA KUENDELEA KUPIGA KAZI, NA ASITETEREKE NA POROJO ZA AINA HII.
 
Nyambala,
1. Je na wewe amekupendelea? Mbona unampigia debe kiasi hicho ndugu yangu? Tukueleweje?

2. Hoja mbele yetu ni kuwa- kuna ukabila UCC- kama zilivyo sehemu zinyinge Tz! Hii ndo hoja ya kimsingi!
 
Mimi si mhaya na nnauchukia ukabila ile mbaya kwani nimewahi kujikuta nakuwa victim simply b'coz of my tribe. Kwa bahati nzuri Beda Mutagahywa alikuwa mwalimu wangu wa Production Engineering third year pale mlimani. Kwa kifupi nnaweza kukuhakikishia Beda ana mapenzi zaidi na Engineering kuliko labda hata huo uhaya. That time late 90's kazi kwa wahandsi mitambo ilikuwa ni ishu lakini Beda liconvince watu wengi tu kujiunga from that field kwenda UCC, hiyo nayo ililalamikiwa sana. Hatukuuona ukabila hapo. Well watu walipata ajira kutoka uhandisi na hasa wale aliokuwa akiwafundisha bila kujali kabila. Na for your information UCC ilianza kufly mpaka hii leo unavyoiona. Watu wengi huwa wanafikiri UCC ilianza in late 90's nope hata Beda aliipokea kwa watu pale mathematics and computing iliyokuwa chini yaokwa miaka zaidi ya kenda na ilikuwa inaelekea kufa. Hawakuweza hata kufungua kajishule ka kutosheleza walau watu ishirini. Kumbuka huu ndio muda computer revolution ilianza kutake place Tanzania.

Mafanikio ya Beda

1. Alifanikisha kujenga lile jengo zuri,la kwanza na la aina yake UDSM.

2. Amefanikisha kufungua UCC's Mwanza, Arusha , Mbeya, Dar city centre.

3. Kinamna nyingine amesaidia kuipa hadhi ile idara iliyokuwa inamiliki UCC.

kWA KIFUPI MIMI NASEMA HAYO NI MAJUNGU NA NAMSHAURI PROF. BEDA MUTAGAHYWA KUENDELEA KUPIGA KAZI, NA ASITETEREKE NA POROJO ZA AINA HII.

Bahati mbaya sana watu wa aina ya Lunyungu mnaangalia huyu mzee kwa mtizamo wa Ukabila zaidi kuliko ujasiri wake ktk mapinduzi ya ICT;

Erick is well educated na kijana ambaye kwa sisi tunaomfahamu ni mwanamapinduzi halisi na mzalendo kwelikweli lakini niboreshe kwa kusema,licha ya udogo wake kiumri na upeo wake mkubwa kielimu amethubutu kujitolea kufanya kazi UCC kwa faida ya Watanzania,kwa elimu yake ambayo inawazidi sana hata watu wengi wenye vitengo serikalini aliamua kufanya kazi UCC kwa mshahara mdogo ambao wewe Lunyungu ukiufahamu hautakubali kumuona pale UCC akijitolea,Erick hafanyi kazi za kuwahudumia wateja ambao umewaeleleza humu,yeye yuko pale kuhakikisha University of DSM wanapata huduma kwa kiwango cha hali juu,ushahidi nenda hata usiku huu utawaona vijana wa kibongo nje ya UCC Building waki enjoy wireless link kwa kila mwanafunzi wa UDSM mwenye Laptop ambayo Erick na timu yake imefanikiwa kwa kiwango kikubwa.Usimchafue kijana kwani kwa umri wake atashindwa kujitetea ila ninathubutu kuapa mbele ya mungu kuwa huyu ni kijana smartest in the house,wana JF kwa hili Lunyungu ametenda dhambi kubwa sana

UCC inafundisha kozi kuanzia Kozi za awali za kompyuta mpaka Diploma na sasa Advance diploma na postgraduate diploma kwa kushirikiana na DALC -Kenya chini Cambridge na OXford Association of Managers (UK) .Nakupa hilo ili uache kupotosha umma juu ya wasifu wa walimu wa UCC lakini pia utaona huyu mzee alivyo visionary ktk kuileta dunia halisi Tanzania.

Uwepo wa wahaya wengi ndani ya UCC si dhambi kwani ni watanzania wenzetu lakini ni vema ukaitizama vizuri UCC,kuna idadi kubwa ya watu ambao si kutoka Kagera,wapo wa kutosha toka mikoa mingine wakiendelea na ujasiliamali tena kwa mafanikio na hawana wasiwasi hata kidogo.

Majungu haya ndiyo yanamfanya Beda Mutag anyimwe nafasi ya kuthibitisha uwezo wake ktk jamii kupitia utaratibu wa kawaida wa kupanda kimadaraka;Mukandara anapaswa kum-recomend for the best si kwa sababu ya Uhaya bali ni kiongozi pekee alimfanya Luhanga atambulike ktk kufikisha huduma kwa jamii ktk kipindi chake cha UVCC

Rejeeni mageuzi ya kimuelkeo ya UDSM,ni Institution ipi iliyoileta UDSM kwa jamii kama UCC,nenda ktk idara zote za serikali uone kama hakuna chapa ya mzee Mutag interms of miundombinu na wataalam?

UCC chini B Mutagy akisaidina na vijana wake Dkt Bakary-Nfuka-Dkt Bakary na Dkt Casmiry imefanya mengi sana ktk ICT in Tanzania ,ombi langu ni ninyi wana JF kuihamasisha serikali na Chuo kikuu chenyewe kiongeze zaidi nguvu pale ili mambo yaende kwa spidi kali zaidi na siyo kumpakaza huyu mzee Beda.
Nawaaga kwa kauli hii "Majungu yanajenga kwani Lunyungu umeamsha watu ,na sasa wanasema"
 
Lunyungu ni fitna na uzushi ndio mambo anayoyajua, haya sasa kiko wapi...
 
Ni dakika chache zimepita tangu nitoke pale UCC kuomba huduma ya wireless.Nikiwa naelekea huko nikawasikia akina mama 2 wanalia wanasema Uhaya na umimi umetawala UCC na Eric anawanyanyasa sana watu hapo . Ana dharau na majibu ya kuua mtu . Mimi sikujali nikasema wache nifike nitafute huduma ili Mjasiriamali mimi niweze kupeta kwa huduma ya wireless. Wandugu sikaumini kwamba kila kona ya ofisi niliangukia mkononi mwa Mhaya na hatimaye kwa Eric mtoto wa kuzaa wa Beda ambaye sasa anakamilisha ukabila katika UCC na kubadili sura nzima na kuifanya mali ya familia .

Mkandara uko hapo naamini unalijua mbona husaidii uko kimya ? Uhaya huu umepigiwa kelele sana hadi tumeamua kufanya investigation kujua kunani . Jamani hapa kuna watu wa UCC na UDSM kwa ujumla tusaidieni kujua kulikoni ?

Kwani haujui kama Mukandara naye ni Muhaya?haujui kama REDET nako kumejaa akina Kokushubila?hapo wapeleka kesi ya mbuzi kwa kondoo...Bukoba yote itahamia UDSM, tuwaongezee muda kidogo!
 
Masatu onyesha ukomavu katika kujadili issues.Kumbuka mimi Lunyungu sina beef na mtu kwanza simjui mtu mwenyewe huyo Beda ila nimesema kile ambacho kipo.Now kuna mtu anakuja na list ya jumla ya Wahaya wote walioko UCC na baada ya hapo discussion itaendelea. Hapa kuna watu wa aina yako pia Masatu wanaweza kuongea wakiwa na direct benefit lakini kumbuka kwamba Beda wa mwaka 1990 si wa mwaka 2007 nashauri ufuatilie tena ujue kunani kila mmoja analalama juu ya Uhaya na Umimi pale UCC. Kufanya kazi nzuri cannot justify ubaguzi nk .Sasa unasikia kaweka hadi kihiyo ambaye ali disco still unataka kusema kwamba Lunyungu kafanya nini ? usiwe mvivu wa kusoma na kutafit.Ingia tena mtaani uje na nyeti badala ya kuwa simple answers kila mara kwa kuwa tu hupendi Lunyungu na mada zake .
 
Mimi si mhaya na nnauchukia ukabila ile mbaya kwani nimewahi kujikuta nakuwa victim simply b'coz of my tribe. Kwa bahati nzuri Beda Mutagahywa alikuwa mwalimu wangu wa Production Engineering third year pale mlimani. Kwa kifupi nnaweza kukuhakikishia Beda ana mapenzi zaidi na Engineering kuliko labda hata huo uhaya. That time late 90's kazi kwa wahandsi mitambo ilikuwa ni ishu lakini Beda liconvince watu wengi tu kujiunga from that field kwenda UCC, hiyo nayo ililalamikiwa sana. Hatukuuona ukabila hapo. Well watu walipata ajira kutoka uhandisi na hasa wale aliokuwa akiwafundisha bila kujali kabila. Na for your information UCC ilianza kufly mpaka hii leo unavyoiona. Watu wengi huwa wanafikiri UCC ilianza in late 90's nope hata Beda aliipokea kwa watu pale mathematics and computing iliyokuwa chini yaokwa miaka zaidi ya kenda na ilikuwa inaelekea kufa. Hawakuweza hata kufungua kajishule ka kutosheleza walau watu ishirini. Kumbuka huu ndio muda computer revolution ilianza kutake place Tanzania.

Mafanikio ya Beda

1. Alifanikisha kujenga lile jengo zuri,la kwanza na la aina yake UDSM.

2. Amefanikisha kufungua UCC's Mwanza, Arusha , Mbeya, Dar city centre.

3. Kinamna nyingine amesaidia kuipa hadhi ile idara iliyokuwa inamiliki UCC.

kWA KIFUPI MIMI NASEMA HAYO NI MAJUNGU NA NAMSHAURI PROF. BEDA MUTAGAHYWA KUENDELEA KUPIGA KAZI, NA ASITETEREKE NA POROJO ZA AINA HII.

Mpaka hapo hujajibu hoja za msingi za Prof Lunyungu kuhusu ukabila. Yeye haja-protest kwamba Beda kafanya yote hayo, wala hajabisha kwamba Beda ni mwalimu wako wa production engineering; anachosema ni kwamba pale UCC kumejaa inshomile mno kuliko kawaida na hapo ndio hoja ya ukabila ilipoingia. Yote uliyoeleza hayapangua hoja za msingi za Prof Lunyungu.Sasa tupe data, hii issue ya ukabila kwa mujibu wa statitics za mtoa hoja hii ni kweli au siyo? Ingekuwa ni essay hapo, pamoja na maelezo marefu, tungekuandikia ooops!
 
Lunyungu kumbe ni profesa, heshima mbele mkuu,
Kumbe hapa JF kuna visima vya elimu namna hii.
Salute mkuu.
 
Bado wandugu nangoja Masatu anijibu hoja maana mimi huwa sionglei unazi wa Vyama wala ushabiki. Mimi ni Mtanzania na nabakia kuwa Mtanzania . Siasa za vyama nawaachia na ushabiki ila naungana na watanzania kujadili hoja .

Salaam toka Dodoma
 
Masatu onyesha ukomavu katika kujadili issues.Kumbuka mimi Lunyungu sina beef na mtu kwanza simjui mtu mwenyewe huyo Beda ila nimesema kile ambacho kipo.Now kuna mtu anakuja na list ya jumla ya Wahaya wote walioko UCC na baada ya hapo discussion itaendelea. Hapa kuna watu wa aina yako pia Masatu wanaweza kuongea wakiwa na direct benefit lakini kumbuka kwamba Beda wa mwaka 1990 si wa mwaka 2007 nashauri ufuatilie tena ujue kunani kila mmoja analalama juu ya Uhaya na Umimi pale UCC. Kufanya kazi nzuri cannot justify ubaguzi nk .Sasa unasikia kaweka hadi kihiyo ambaye ali disco still unataka kusema kwamba Lunyungu kafanya nini ? usiwe mvivu wa kusoma na kutafit.Ingia tena mtaani uje na nyeti badala ya kuwa simple answers kila mara kwa kuwa tu hupendi Lunyungu na mada zake .

Kitila huyu Prof wako Lunyungu anakiri mwenyewe kuwa hamfahamu mtu aitwae Beda!!!! Lakini bado anamshutumu Masatu kwa majibu aliyompatia;what a shame way of dying?..

Ni msemo wa wa wasomi wetu akiwemo mwalimu wa MEMKWA Lunyungu kuwa kama huna taarifa za kutosha huna haki ya .......... .Nenda kafanye research yako vizuri ila tunaungana na Masatu na Ngombo Biro kwa udadavuzi wa kina juu ya Prof Beda na madai yako.

Nakupa la mwisho" Prof Beda ni msomi aliye elimika na kustaarabika kwa kiwango cha juu sana,si dhambi kwa kila aliye na roho ya ubinadamu kuwasaidia ndg zake cha muhimu hapo ni kuwa havunji sheria za nchi lakini ushahidi uko wazi, ICT ni field ambayo vijana wengi wameitolea macho,tukumbuke wenzetu wa BK ni watu makini ktk elimu na si siri ktk industry hiyo wako wengi hivyo UCC kuwa na wahaya kwa 60 % ni uthibitisho wa juhudi zao kwani wote wana sifa za kuwaruhusu kuwepo hapo kama wakurya,wachaga,wanyaki,Nyamwezi,pogoro,nyalu na ngoni ambao ukifika utawakuta wakichapa kazi na wala hutaiona hiyo mentality ukabila machoni mwao na mioyoni mwao. Beda ameoa Mngoni pure,hivyo akina Erick unaowasimanga pasi kuwajua ni wahaya chipolopolo mzee wa MEMKWA.
Micro computer Application ni kozi inayoweza kufundishwa na kijana wa kidato cha nne aliyeandaliwa vizuri ktk kozi za cheti pale UCC.Degree yako ya MEMKWA kamchomee mahindi maana kumbe hujui kuwa kuna wazamili wengi kama si madaktari hawaijui hata MOUSE.

Tuijenge nchi yetu kwa kuwasaidia watu wa aina ya Prof Beda kufikia njozi ktk kile wanachokiamini kitaaluma na hasa pale wanapothubutu,mzee Mutagahywa amewaweka ktk ramani ya dunia UDSM,anaiendasha UCC kwa revenue yake yenyewe,UCC haina ruzuku toka serikalini ukiachilia ka monopoly kadogo ka kuhodhi ICT ata UDSM(Nako sasa kameingiliwa sana na manyang'au hapo UDSM kwa hoja ya ushindani wa soko huku wakisahau uanzishwaji wake ulilenga nini,unapomshauri prof Mkandara ulipaswa kumsisitizia ktk kuimarisha monopoly ile na kukipigania kituo kile kisonge mbele na si hukumu za kikabila ),huyu ni mfano wa Wazalendo wanaowapa mkate wananchi wenzao pasipo kuegemea ufadhiri wa wajomba,anatumia akili na maarifa yake na wasaidizi wake na umma mzima kutimiza wajibu wenye tija kwa taifa hili;Kuanzia sasa unapaswa kuhoji huko sirikalini ni vipi wanawawezesha UCC ktk ICT kwa kurejea fasiri sahihi za MKUKUTA na MKURABITA; ulichofanya ni kumuwekea giza mzee huyu kwa akina Muungwana,ili wasimuone,all in all mungu anaona,pale anapokosea atamsaidia kumuinua na pale anapodhihakiwa atamfadhiri;Amen

Turudi Dodoma
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom