Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Mkuu ungeanzisha uzi wako lingekuwa jambo la busara sana,Ni bure pia kuanzisha uzi wako ukatangaza hiyo huduma yako.
Tunashukuru mungu tumemaliza salama coz ya siku 8 yenye kulipishwa laki moja waliokuja wameipata kwa bure na wameisoma kwa siku moja