hahahaa!, ndio maana na wabunge wengi waliupenda huu mstari.....kumbe wanagawaga bure nao!!mwambie aende kwa Ally Kiba ye anamandinga mapya na kila mmoja anampa
hahahaa!, ndio maana na wabunge wengi waliupenda huu mstari.....kumbe wanagawaga bure nao!!mwambie aende kwa Ally Kiba ye anamandinga mapya na kila mmoja anampa
Babu sio kawaida nipo kariakoo sio muda wote nipo SA...Hii ni mtu na mtu. Watu kibao wanaazimana magari tena ya maana wanasafiri nayo. Ni vitu vya kawaida tu kwa wengine.
Itakuwa Toyota crownTunataka kujua aina,siyo thamani yake na namba,unatuwekea DLV kwani sisi trafic,na suala la thamani ni kwamba unaweza kununua ist kwa m 18 ukiamua
Upo sahihi Uganda kuna gari Kali piaMkuu,wenzetu Waganda washafka huko kitambo sana,kumiliki ndinga Kali kwa Uganda siyo jambo jipya tena!
Kabsa mkuu,uchungu wa ndinga aiujuae ni yule anaelipia bank.vitu kama hivi unamuazima mtu kwa sababu za msingi sana.. na awe dereva wa uhakika..
mfano ugonjwa, mzazi kujifungua etc...
sio umuazime mtu aendee harusini au matembezini huku uber zimejaa