Beberu na Nchi rafiki katika picha tofauti

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,094
103,327
EkXmn5dWkAI4usr.jpeg
EkXmngHXgAEZbB-.jpeg
 
Simple observation,bashiru anajaribu kujichekesha ila beberu hacheki,na wazalendo maalim na TAL Wana Amani natural huku beberu naye Ana furaha
 
Simple observation,bashiru anajaribu kujichekesha ila beberu hacheki,na wazalendo maalim na TAL Wana Amani natural huku beberu naye Ana furaha
Beberu Lina furaha baada ya kuthibitishiwa maslah yake
 
Simple observation,bashiru anajaribu kujichekesha ila beberu hacheki,na wazalendo maalim na TAL Wana Amani natural huku beberu naye Ana furaha
Upinzani cjui mna matatizo gani, akifanya CCM n kosa lkn jambo hilo hilo akifanya upinzani ni sawa
 
Beberu Lina furaha baada ya kuthibitishiwa maslah yake
Wenyewe mlisema kwa kauli yenu!! na nukuu ''ukitaka kula lazima uliwe!!'' wengine wakitayalisha mazingira ya kumegwa ili tule mnalia! lia! hivi mnataka nini? hamueleweki!!!

Dawa ni kuwang'oa tu, na nimesema Jiwe hatukumtaka, safari hii John Pombe Magufuri hatumtaki tena hata hapo chato asiishi, aende uhamishoni visiwa vya Mayotte!

Jina hili Beberu harufu baya sana!
 
Wenyewe mlisema kwa kauli yenu!! na nukuu ''ukitaka kula lazima uliwe!!'' wengine wakitayalisha mazingira ya kumegwa ili tule mnalia! lia! hivi mnataka nini? hamueleweki!!!

Dawa ni kuwang'oa tu, na nimesema Jiwe hatukumtaka, safari hii John Pombe Magufuri hatumtaki tena hata hapo chato asiishi, aende uhamishoni visiwa vya Mayotte!

Jina hili Beberu harufu baya sana!
Muda wa kampeni umeisha kapige kura ndio njia pekee ya unayemtaka eidha ashinde au ashindwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom