OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,094
- 103,327
Halafu kuna taarifa kuwa bila upanga hana mpango wa kuondoka magogoniBeberu yupo Magogoni anabaashia wanawake weupe, mpaka wake za watu.
Beberu Lina furaha baada ya kuthibitishiwa maslah yakeSimple observation,bashiru anajaribu kujichekesha ila beberu hacheki,na wazalendo maalim na TAL Wana Amani natural huku beberu naye Ana furaha
Kichwa chake kinaweza kikawa mali ya ummaHalafu kuna taarifa kuwa bila upanga hana mpango wa kuondoka magogoni
Upinzani cjui mna matatizo gani, akifanya CCM n kosa lkn jambo hilo hilo akifanya upinzani ni sawaSimple observation,bashiru anajaribu kujichekesha ila beberu hacheki,na wazalendo maalim na TAL Wana Amani natural huku beberu naye Ana furaha
Nani mpinzani hapa?ccm halisi sio hawa wavamizi kina chakubangaUpinzani cjui mna matatizo gani, akifanya CCM n kosa lkn jambo hilo hilo akifanya upinzani ni sawa
Wenyewe mlisema kwa kauli yenu!! na nukuu ''ukitaka kula lazima uliwe!!'' wengine wakitayalisha mazingira ya kumegwa ili tule mnalia! lia! hivi mnataka nini? hamueleweki!!!Beberu Lina furaha baada ya kuthibitishiwa maslah yake
Muda wa kampeni umeisha kapige kura ndio njia pekee ya unayemtaka eidha ashinde au ashindweWenyewe mlisema kwa kauli yenu!! na nukuu ''ukitaka kula lazima uliwe!!'' wengine wakitayalisha mazingira ya kumegwa ili tule mnalia! lia! hivi mnataka nini? hamueleweki!!!
Dawa ni kuwang'oa tu, na nimesema Jiwe hatukumtaka, safari hii John Pombe Magufuri hatumtaki tena hata hapo chato asiishi, aende uhamishoni visiwa vya Mayotte!
Jina hili Beberu harufu baya sana!
Muuza viatu usimpe Magufuli nakwambia na umuombee ashindwe ktk jina la Yesu wa Nazareth!!Muda wa kampeni umeisha kapige kura ndio njia pekee ya unayemtaka eidha ashinde au ashindwe
Hili ni tatizo la wote, siyo wapinzani tu.Upinzani cjui mna matatizo gani, akifanya CCM n kosa lkn jambo hilo hilo akifanya upinzani ni sawa