Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Hayo ni neno ya Mama Beatrice Shimeda (54) , mkazi wa Kibamba.Mama huyu amepatwa na maradhi ya ajabu ambayo kama jitihada za kumsaidia hazitofanyika basi mguu huu unaweza kupelekea kupoteza uhai wake.
Ameishi na maradhi haya kwa muda wa miaka 21 sasa, anatakiwa kwenda kupata matibabu India ila hana pesa hivyo kupitia Global Tv ameona bora amuombe msaada Rais.
Imeniuma sana nimeamua kushare na wanajf juu ya hili, najua uwezo wa kumsaidia upo, yeyote alieguswa na hili kuna namba za simu zimetolewa kwenye video hapo chini.
Tunayo nafasi ya kurudisha tabasamu usoni kwa Mama Beatrice, tabasamu ambayo ameikosa kwa muda wa miaka 21 sasa.
Dini ya kweli ni kusaidia Wajane na watoto.
Ameishi na maradhi haya kwa muda wa miaka 21 sasa, anatakiwa kwenda kupata matibabu India ila hana pesa hivyo kupitia Global Tv ameona bora amuombe msaada Rais.
Imeniuma sana nimeamua kushare na wanajf juu ya hili, najua uwezo wa kumsaidia upo, yeyote alieguswa na hili kuna namba za simu zimetolewa kwenye video hapo chini.
Tunayo nafasi ya kurudisha tabasamu usoni kwa Mama Beatrice, tabasamu ambayo ameikosa kwa muda wa miaka 21 sasa.
Dini ya kweli ni kusaidia Wajane na watoto.