SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,803
- 1,863
Wapanda pikipiki wamekuwa wakituhumiwa kila wakati kwamba hawavai kofia (helmet) ili kuwakinga na ajali.
Kubwa zaidi ni kitendo cha kupakiwa watu zaidi ya mmoja kwenye pikipiki moja.
Tulitegemea watunga sheria yaani wabunge ndiyo wawe wa kwanza kulikemea hili kila linapotokea.
Lakini tazama picha niliyoweka hapo chini. Unawaona Betrice Shelukindo na mtangazaji wa Radio/ITV yaani Wiliam Mngazija.
Wote wawili wamepakiwa kwenye pikipiki moja wakiendeshwa na dereva mmoja. Wote wawili hawajavaa helmet.
Unategemea nini kutoka kwa wabunge kama huyu inapozungumzwa hoja ya kupunguza maafa yanayotokana na kupakia ovyo kwa magari na pikipiki?
Unategemea nini kutoka kwa wabunge kama huyu inapozungumzwa hoja ya kujiweka salama safarini kama vile kufunga mkanda kwenye gari sawa na kuvaa kofia (helmet) kwenye pikipiki.
Siwasingizii, situngi maneno, bali ona mwenyewe picha hii, tena imepigwa na gazeti lao wenyewe IPP media analofanyia huyo mtangazaji.
View attachment IMG.pdf
SOURCE: NIPASHE
DATE: MAY 23, 2012
PAGE: 13
Kubwa zaidi ni kitendo cha kupakiwa watu zaidi ya mmoja kwenye pikipiki moja.
Tulitegemea watunga sheria yaani wabunge ndiyo wawe wa kwanza kulikemea hili kila linapotokea.
Lakini tazama picha niliyoweka hapo chini. Unawaona Betrice Shelukindo na mtangazaji wa Radio/ITV yaani Wiliam Mngazija.
Wote wawili wamepakiwa kwenye pikipiki moja wakiendeshwa na dereva mmoja. Wote wawili hawajavaa helmet.
Unategemea nini kutoka kwa wabunge kama huyu inapozungumzwa hoja ya kupunguza maafa yanayotokana na kupakia ovyo kwa magari na pikipiki?
Unategemea nini kutoka kwa wabunge kama huyu inapozungumzwa hoja ya kujiweka salama safarini kama vile kufunga mkanda kwenye gari sawa na kuvaa kofia (helmet) kwenye pikipiki.
Siwasingizii, situngi maneno, bali ona mwenyewe picha hii, tena imepigwa na gazeti lao wenyewe IPP media analofanyia huyo mtangazaji.
View attachment IMG.pdf
SOURCE: NIPASHE
DATE: MAY 23, 2012
PAGE: 13