Beatrice: Nimepata Ujauzito na nina Amani! (USHUHUDA MZITO)

Jul 25, 2011
32
12
Bwana wetu Yesu asifiwe sana kwa miujiza anayoifanya. Ninawashukuru sana Strictly Gospel kwa maombi yenu hakika hakuna lisilo wezekana kwa Mungu!Nilituma maombi ilikuwa tarehe 11/5/ 2011 nikiwa katika kipindi kigumu sana lakini nimeona na macho yangu hakuna magumu kwa Mungu wetu mwenye huruma. Tatizo nilikuwa nayo ilikuwa ya kutopata mtoto na kutoelewana na mume wangu yaani alikuwa hataki kuniona. Ila mungu alitenda muujiza kama vile alivyomtendea Hanna mke wa elkana, amen! Wakati muliniandikia mkanifariji kwamba Mungu atayafuta machozi yangu kama vile alivyomufuta mke wa Elkana machozi na mkaniambia kwamba nitamkumbatia mwanangu hakika mulinitia moyo na hivi Mugu alisha jibu maombi hivi ni mama mjamzito na tena nina amani katika ndoa yangu. Jina la Baba libalikiwe na liheshimiwe na litukuzwe milele na milele, amina! Kwa hiyo mwezi wa tano niliendelea kumlilia Mungu huo mwezi wa tano usinipite kabla sijapata mtoto katika tumbo langu kulingana na magumu nilikuwa nayo wakati nilikuwa naomba sauti ya Mungu ikanijia ikaniambia nichukuwe biblia nisome 2wafalme 4;16-18 .na 2wafalme4;1-7, Jina la Bwana libalikiwe. Nilipo lala usiku nikalota mtoto iko anacheza tumboni nikawa nafuraha sana nikamtukuza Mungu wangu mwenye nguvu na hivi mimba iliingia huyo mwezi wa tano kwa sasa hivi ninaomba Mungu aendelee kulinda mtoto wangu na nijifunguwe salama. Jina la Bwana lihimidiwe. Ushuhuda wangu ni huo na mbarikiwe sana na mola wetu amina!Beatrice.Tarehe 11/5/2011 Beatrice Niyo akihitaji maombi aliandika kama ifuatavyo:
“Mungu wetu asifiwe. Ndugu zangu naomba munisaidie kwa maombi sana nimeolewa lakini sijapata mtoto niko katika kipndi kigumu sana mume wangu anataka kunifukuza juu ya hiyo tatizo ananiambia kama mimi sifai kuwa mkeo wala sina faida kwake mambo mengi sana machozi yanidondoka usiku na mchana natatizo ingine mimi ni yatima sina ndugu wala marafiki wote walisha nikimbia akinifukuza sina nafasi yakwenda nahivi amenipa dakika moja yakuishi nae mda wowote anaweza nitupa inje juu ya hiyo tatizo sina masomo wala vyashala wala kazi ambavyo vinaweza kunisaidia jamani ninahangaika sana. Naomba munisaidiye kwa maombi hata kama inawezekana munisaidiye kwa kufunga hata sikumoja.siku zangu zakufunga ni siku ya tatu yaani wednesday naomba tusaidizane kwa maombi.hivi roho yangu iko sawa kidonda mchana ni giza kwangu na usiku ni huzuni nyingi kwangu. asante mwenyezi Mungu awajalie.”Ushuhuda mwingine wa Beatrice Niyo unapatikana katika link ifuatayo: http://strictlygospel.wordpress.com/2011/05/16/asante-yesu-kwa-kurejesha-amani/

SOURCE:Beatrice: Nimepata Ujauzito na nina Amani! « Strictly Gospel
 
Bwana yesu asifiwe,hakuna ubishi mungu aliehai yupo,nakuambia mtoto huyo atakuja na baraka tele, nafikiri sasa hivi mmeo atakua ametulia.Na mbarikiwe.
 
Muda mwingine ni kutokuwa na elimu ya uzazi na kuipuuzia na kutokuona umuhimu wa kuwaona wataalamu na kufuata ushauri wao. Huo ni mwongozo wa Mungu kwani lazima aliwafunulia ile elimu ya namna ya kufanya ile kazi kwa ufasaha ya kuleta mtoto. Tuwetunasoma vitabu na journals za mambo haya kwani walioandika wamepewa karama hizo na Mungu kupitia Roho Mtakatifu ili kufaidiana.

Hivi haujakutana na pastor au kiongozi wa hao Strictly Gospel na kukueleza namna ya ku-handle tendo la ndoa ikiwemo na vyakula vya kula wewe na mumeo?
 
hongera beatrice,namtukuza mungu pamoja nawe. endelea kumuomba mungu akusaidie kuelewa neno lisemalo 'amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu' (ni yeremia nadhani). ww kuwa yatima, usimfanye mumeo kuwa ndo baba yako. Biblia inasema 'Mungu ni baba wa yatima..'uwe na moyo wa ushujaa.
nb: mtoa mada,plz jumbe hizi umpelekee bibie
 
nakubaliana na ww kabisa! na kufanyiwa maombi haimaanishi usitafute ushauri wa kitaalamu! 'watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa', mtu anaombewa na hosp haendi tena.
Muda mwingine ni kutokuwa na elimu ya uzazi na kuipuuzia na kutokuona umuhimu wa kuwaona wataalamu na kufuata ushauri wao. Huo ni mwongozo wa Mungu kwani lazima aliwafunulia ile elimu ya namna ya kufanya ile kazi kwa ufasaha ya kuleta mtoto. Tuwetunasoma vitabu na journals za mambo haya kwani walioandika wamepewa karama hizo na Mungu kupitia Roho Mtakatifu ili kufaidiana.Hivi haujakutana na pastor au kiongozi wa hao Strictly Gospel na kukueleza namna ya ku-handle tendo la ndoa ikiwemo na vyakula vya kula wewe na mumeo?
 
Isije ikawa anamtumia bible na kanisa lengo ikiwa kuna mwanaume anadanganywa mimba ni yake umbe sio Mtu kachukua sperm za mtu mwingine kenda majuuu kawekewa.
 
Isije ikawa anamtumia bible na kanisa lengo ikiwa kuna mwanaume anadanganywa mimba ni yake umbe sio Mtu kachukua sperm za mtu mwingine kenda majuuu kawekewa.

Mkuu usiwaondolee furaha yao bhana DNA c imekatazwa hahahahaaaa......kumbe Baba mchungaji ni demu ooooh!!shhhh...sorry kama cjaelewa vyema .Cmama na Bwana nae atakutendea yaliyo makuu zaidi ya uyajuayo ...asema bwana.
 
Mkuu usiwaondolee furaha yao bhana DNA c imekatazwa hahahahaaaa......kumbe Baba mchungaji ni demu ooooh!!shhhh...sorry kama cjaelewa vyema .Cmama na Bwana nae atakutendea yaliyo makuu zaidi ya uyajuayo ...asema bwana.
khee basi kama ndo hivyo Beatrice=baba mchungaji.. ndo ulivyo maanisha
 
Bwana yesu asifiwe,hakuna ubishi mungu aliehai yupo,nakuambia mtoto huyo atakuja na baraka tele, nafikiri sasa hivi mmeo atakua ametulia.Na mbarikiwe.

.............. kwani Mungu aliwahi kufa ?!
 
Bwana wetu Yesu asifiwe sana kwa miujiza anayoifanya. Ninawashukuru sana Strictly Gospel kwa maombi yenu hakika hakuna lisilo wezekana kwa Mungu!Nilituma maombi ilikuwa tarehe 11/5/ 2011 nikiwa katika kipindi kigumu sana lakini nimeona na macho yangu hakuna magumu kwa Mungu wetu mwenye huruma. Tatizo nilikuwa nayo ilikuwa ya kutopata mtoto na kutoelewana na mume wangu yaani alikuwa hataki kuniona. Ila mungu alitenda muujiza kama vile alivyomtendea Hanna mke wa elkana, amen! Wakati muliniandikia mkanifariji kwamba Mungu atayafuta machozi yangu kama vile alivyomufuta mke wa Elkana machozi na mkaniambia kwamba nitamkumbatia mwanangu hakika mulinitia moyo na hivi Mugu alisha jibu maombi hivi ni mama mjamzito na tena nina amani katika ndoa yangu. Jina la Baba libalikiwe na liheshimiwe na litukuzwe milele na milele, amina! Kwa hiyo mwezi wa tano niliendelea kumlilia Mungu huo mwezi wa tano usinipite kabla sijapata mtoto katika tumbo langu kulingana na magumu nilikuwa nayo wakati nilikuwa naomba sauti ya Mungu ikanijia ikaniambia nichukuwe biblia nisome 2wafalme 4;16-18 .na 2wafalme4;1-7, Jina la Bwana libalikiwe. Nilipo lala usiku nikalota mtoto iko anacheza tumboni nikawa nafuraha sana nikamtukuza Mungu wangu mwenye nguvu na hivi mimba iliingia huyo mwezi wa tano kwa sasa hivi ninaomba Mungu aendelee kulinda mtoto wangu na nijifunguwe salama. Jina la Bwana lihimidiwe. Ushuhuda wangu ni huo na mbarikiwe sana na mola wetu amina!Beatrice.Tarehe 11/5/2011 Beatrice Niyo akihitaji maombi aliandika kama ifuatavyo:
"Mungu wetu asifiwe. Ndugu zangu naomba munisaidie kwa maombi sana nimeolewa lakini sijapata mtoto niko katika kipndi kigumu sana mume wangu anataka kunifukuza juu ya hiyo tatizo ananiambia kama mimi sifai kuwa mkeo wala sina faida kwake mambo mengi sana machozi yanidondoka usiku na mchana natatizo ingine mimi ni yatima sina ndugu wala marafiki wote walisha nikimbia akinifukuza sina nafasi yakwenda nahivi amenipa dakika moja yakuishi nae mda wowote anaweza nitupa inje juu ya hiyo tatizo sina masomo wala vyashala wala kazi ambavyo vinaweza kunisaidia jamani ninahangaika sana. Naomba munisaidiye kwa maombi hata kama inawezekana munisaidiye kwa kufunga hata sikumoja.siku zangu zakufunga ni siku ya tatu yaani wednesday naomba tusaidizane kwa maombi.hivi roho yangu iko sawa kidonda mchana ni giza kwangu na usiku ni huzuni nyingi kwangu. asante mwenyezi Mungu awajalie."Ushuhuda mwingine wa Beatrice Niyo unapatikana katika link ifuatayo: http://strictlygospel.wordpress.com/2011/05/16/asante-yesu-kwa-kurejesha-amani/

SOURCE:Beatrice: Nimepata Ujauzito na nina Amani! « Strictly Gospel

........... hii ni karne ya 'hoja' na si 'miujiza' ............. ukiamini miujiza ni upo sawa na wale waliokataa kuwa dunia ni duara na wakamhukumu Galileo !
 
.........Cmama na Bwana nae atakutendea yaliyo makuu zaidi ya uyajuayo ...asema bwana.

Ameeeeeeeeen na akili kum kichwa teh teh


........... hii ni karne ya 'hoja' na si 'miujiza' ............. ukiamini miujiza ni upo sawa na wale waliokataa kuwa dunia ni duara na wakamhukumu Galileo !

Mkuu unachanganya watu labda kama wewe huna dini wala imani. kama unayo dini na unayo imani ya mungu basi miujiza kwako na mafundisho yeyote yale sio kitu cha kushangaza.
 
Back
Top Bottom