Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,104
haujatengenezwa combination sound huu wimbo kafatilie..aliye utengeneza ni producer mpya labda ndio maana kakopi beat
Wimbo Wa matonya katengeneza Ebby Daddy ndani ya Chaiders
Na wakiba katengeneza ebbydaddy ndani ya chaiders guitar ikapigwa na iloso
Mixing ikapigwa na man water pale combinenga
Na nyimbo zote za ebbydaddy ndio zinavyoanza tafuta hii ya shebb love isikilize inaitwa Baikoko
Ukimaliza rudi hapa