mnyepe
JF-Expert Member
- Dec 1, 2008
- 1,907
- 658
Hahaha nashangaa mnatetea hoja yenu kwa wivi meingine huenda hao waliocopy waliacknowledge sasa huyo kiba mbona leo wakati anarelease ngoma hakusema wazi tu hii beat ni kama ya matonya
Acha dawa ikuingie dogo. Povuuu jingi. Hio ya tonya beat anamiliki yeye au producer?
Angalizo.Hizo nyimbo zote katengeneza producer mmoja. Do your homework boy.