MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Wajameni naomba kuuliza kwa yeyote anaefahamu, kuna sehemu nyingi hapa Tanzania Hasa Vijijini utakuta alama za eitha Ukuta wa mita kama 3 kwenda juu na mita 4 upana au utakuta sehemu pamemiminwa zege la cement katikati ya pori, Huwa najiuliza sana hii ni nini? ukiwauliza wenyeji wanasema waliweka wakoloni (Wajerumani) nani anafahamu hivi vitu? na serikali yetu inasemaje juu ya hali hii?
nawasilisha kwa wajuzi wa mambo
nawasilisha kwa wajuzi wa mambo