Tradecarview Wana Gari makini kuliko BFDuuuu!!
Tradecarview bei zao ni nafuu kuliko be forward? Sidhani kama upo sahihi Sana Ila Kwa SBT Japan hawa wako vizuri Kwenye price
Tradecarview Wana Gari makini kuliko BFDuuuu!!
Tradecarview bei zao ni nafuu kuliko be forward? Sidhani kama upo sahihi Sana Ila Kwa SBT Japan hawa wako vizuri Kwenye price
SBT gari zimekula km za kutosha.Nimeagiza Gari tc-v & SBT 1. Usalama wa pesa yako (ukituma pesa Japan, mwenye halipwi mpaka gari iwe shipped) 2. Bei zao nafuu 3. Gari in mint condition
Ila gari zao zimeenda km nyingi.Duuuu!!
Tradecarview bei zao ni nafuu kuliko be forward? Sidhani kama upo sahihi Sana Ila Kwa SBT Japan hawa wako vizuri Kwenye price
Ni kweli aisee hawa jamaa gari zao wanauza Kwa bei ya chini kwasabb milageIla gari zao zimeenda km nyingi.
Nilicheki Supra izi old model, mashine 2jzge tu haina mbwembwe, kweli hata uko Beforward ilikuwa ghali, ushuru nikaona inacheza milioni 28.
Nikacheki New model yake, ushuru ni milioni 80 kama sijakosea.
Kuna haja kweli ushuru wa hizi magari uangaliwe upya
Mkuu ukiachia kodi ya uchakavu, wapi kuna unafuu?wanavosema new model kodi yake ni ndogo hawaangalii amount ya kodi ila asilimia ya kodi ukilinganisha na bei ya gari.
lets say rav 4 ya mwaka 1999 bei yake bila kodi ni sh milion 6... alafu kodi yake ni shilingi milion 7 ambayo ni mara mbili ya bei ya gari...
Mkuu ukiachia kodi ya uchakavu, wapi kuna unafuu?
Import Duty kwa zote ni 25%
Excise duty kwa zote zenye cc chini ya 2000 ni 5% au kama zaidi ni 10%
Vat kwa zote ni 18%
Sasa unafuu huu uko wapi? wamecheza na maneno tu apo, hamna lolote.
Yaani walau wangefanya new models import duty chini ya 25% ndio ningeelewa.
Unaambiwa hata customs processing fees gari new model ipo. Yaani hata processing fee basi pia wameshindwa kuweka chini!Nimependa mawazo mmbadala,tulikuwa tunafikiri kodi kubwa ipo ilivkudhibiti uchakavu lakini si hivyo.Ni bora kodi ikashushwa lakini watu wahamasike kuagiza gari zilizo chini ya miaka 15.
nina maanisha magari ya 2000-2004 leo hii yana miaka karibia 20.Ila kwa sisi ndio tunayagombania.
Kodi inazidi CIFNenda Kwenye Kodi Utalia Mwenyewe...kujua Kodi,hiyo Bei zidisha mara 2
Wakati $ni Approximately Tsh 2280.
2280*2858=kama 13million hivi, Sasa Wewe unaona ni Rahisi na Hiyo Kodi? Unless wewe uwe ni Marketing officers, executives,wa Be forward JP Tanzania, hivyo unawapa Promo kiaina!
Sent using Jamii Forums mobile app