Be afraid CCM!! Just be afraid!!! Fikiria iwapo daftari la wapiga kura lingekuwa limeboreshwa!

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233
Bila shaka kwa maagizo ya CCM NEC haijaboresha daftari tangu mapema 2010 kabla ya ule uchaguzi hivyo katika kata hizo 22 malaki ya vijana waliozaliwa 1992 - 1995 hawajaandikishwa hivyo hawamo katika daftari na maelfu wengine pia wazee wamekufa -- wanatakiwa wafutwe. Kwa kuwa wanaozaliwa nni wengi kuliko wanaokufa basi kuna ongezeko la idadi ya watu.

Aidha tusisahau kwamba matokeo ya kwanza mabaya ya Form 4 za sekondari za Kata (za Lowassa) yalianza 2010, hivyo malaki ya vijana wako mitaani without hope, future na hivyo have nothing to lose in life na hasa wanaposikia sasa kwamba predicament yao imetokana na sera mbovu za CCM katika elimu. Msifikiri wanafunzi hao hawajui kwamba walisoma shule mbovu hasa wakiona watoto wa wakubwa wakisoma shule nzuri. hili wanalijua sana.

Hivyo wengi wa hawa bila shaka wanashabikia CDM lakini hawamo katika daftari la wapiga kura. Wangekuwamo jee?

Na ndiyo maana sasa hivi CCM inaweweseka na hii rasimu ya katiba mpya kwani haya mambo ya kuchelewesha kuboresha daftari kwa visingizio visivyo na msingi katika uendeshaji wa demokrasia ya vyama vingi yatatoweka hivyo wanaona hakuna mteremko tena!

CCM anzeni kuogopa sasa!! hamnuwezi kuzuia mambo mema yanayokuja.
 
Usemayo sahihi kabisa lakini na hoja uliotoa ina sound sana. Napita tu. Kuna watu watakuja hapa kujaribu kupinga kwa hoja kwamba unajuaje iwapo wasioandikishwa wengi wao ni wafuasi wa CDM?
 
Usemayo sahihi kabisa lakini na hoja uliotoa ina sound sana. Napita tu. Kuna watu watakuja hapa kujaribu kupinga kwa hoja kwamba unajuaje iwapo wasioandikishwa wengi wao ni wafuasi wa CDM?


CCM bado inadunda moyo kutokana na mbeleko kubwa tatu -- NEC, polisi yao na TISS yao! Vinginevyo saa hii ingekuwa imeisha sahauliwa.
 
Usemayo sahihi kabisa lakini na hoja uliotoa ina sound sana. Napita tu. Kuna watu watakuja hapa kujaribu kupinga kwa hoja kwamba unajuaje iwapo wasioandikishwa wengi wao ni wafuasi wa CDM?

A divided army cannot defeat the enemy. CCM wao wajiandae kwa anguko la nguvu vitendo wanavyofanya na kila mtua anawazungumza wao wajue hiyo ni laana. Nawahurumia sana wanaowania urais kupitia CCM.

Heri ya Ndugai aliyewapa Barak zote CHADEMA maana ameshaanza kupata akili na upepo wa mageuzi ya Ukweli.
 
Katika mbinu zote chafu za CCM, nadhani hii aliyoingia nayo Mwigulu ya kuleta vurugu na mauaji hatutaendelea kuvumilia
 
Anguka la CCM ni dhahiri na wao wenyewe wanajua ndio maana walijipanga kuleta vurugu nchi nzima na kwenye kila kata. Uzuri ni kwamba 2015 uchaguzi utakuwa nchi nzima na kwenye kata zote, maelfu ya vijana hawataki kuisikia CCM na tutakuwa tayari kuilinda demokrasia kwa gharama yoyote, hata kama kuwazika wanaCCM wakiwa hai. I tell you 2015 kama CCM wakijaribu kuleta vurugu wanajichimbia kaburi lao wenyewe. Tunao vijana wengi tu waliopitia JKT ambao watatumia ujuzi walioupata huko kuhakikisha kura haziibiwi
 
[FONT=comic sans
ms]A divided army cannot defeat the enemy. CCM wao wajiandae
kwa anguko la nguvu vitendo wanavyofanya na kila mtua anawazungumza wao
wajue hiyo ni laana. Nawahurumia sana wanaowania urais kupitia CCM.

Heri ya Ndugai aliyewapa Barak zote CHADEMA maana ameshaanza kupata
akili na upepo wa mageuzi ya Ukweli.
[/FONT]

wacha mjiliwaze baada ya anguko la chadema kwenye uchaguzi wa udiwani. hizo ndo hasira zenu baada ya leo kugaragazwa vibaya
 
Bila shaka kwa maagizo ya CCM NEC haijaboresha daftari tangu mapema 2010 kabla ya ule uchaguzi hivyo katika kata hizo 22 malaki ya vijana waliozaliwa 1992 - 1995 hawajaandikishwa hivyo hawamo katika daftari na maelfu wengine pia wazee wamekufa -- wanatakiwa wafutwe. Kwa kuwa wanaozaliwa nni wengi kuliko wanaokufa basi kuna ongezeko la idadi ya watu.

Aidha tusisahau kwamba matokeo ya kwanza mabaya ya Form 4 za sekondari za Kata (za Lowassa) yalianza 2010, hivyo malaki ya vijana wako mitaani without hope, future na hivyo have nothing to lose in life na hasa wanaposikia sasa kwamba predicament yao imetokana na sera mbovu za CCM katika elimu. Msifikiri wanafunzi hao hawajui kwamba walisoma shule mbovu hasa wakiona watoto wa wakubwa wakisoma shule nzuri. hili wanalijua sana.

Hivyo wengi wa hawa bila shaka wanashabikia CDM lakini hawamo katika daftari la wapiga kura. Wangekuwamo jee?

Na ndiyo maana sasa hivi CCM inaweweseka na hii rasimu ya katiba mpya kwani haya mambo ya kuchelewesha kuboresha daftari kwa visingizio visivyo na msingi katika uendeshaji wa demokrasia ya vyama vingi yatatoweka hivyo wanaona hakuna mteremko tena!

CCM anzeni kuogopa sasa!! hamnuwezi kuzuia mambo mema yanayokuja.
Hivi huyo jaji mzee mwenyekiti wa tume ya uchaguzi anasemaje kuhusu uboreshwaji wa daftari la wapiga kura?


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
you are too techinical my frend.hilo ni jambo jingine la hatari sana ambalo kama hawajui litawaua.daftari la sasa liliandikwa kipondi watu hwana muamko wa siasa lakini muda huu hali imenadilika.cdm wakikomalia hilo ushindi watapata..its my post of the day.brilliant observation
 
Back
Top Bottom