The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,150
Habarini, shikamoni na poleni kwa majukumu.
Refer the heading above, naanza na visa viwili au vitatu kulingana na mada tajwa hapo juu.
Kisa Cha kwanza.
Kipindi Niko advance nilifahamiana na dada mmoja wa kisukuma alikuwa akiitwa Anna, mdada mrembo kisura haswaa, macho mazuri, guu la maana kweli,mlaini, vidole virefu vya mikono, urefu wastani, tank alikuwa nalo, mweupe, lips nzuri halafu na mwendo wa maringo yule dogo alikuwa funiko.
Anna alikuwa mdada mwenye tabasamu zuri, ongea ya kudeka na kicheko kizuri aiseee sijui unanipata we msomaji, she was a perfect girl in my sight. On top of that she was very bright sijui clever amongst girls in the class na ashatukimbiza mara kibao tu lakin mapenzi yalimchanga hakumaliza mwendo vyema Hadi walimu wakawa wanamuita kumshauri aachane na mapenzi yakuanzia advance
Alikuwa mdau wa back bencher kama mie, kipindi tumeanza ripoti shule tulikuwa wachache sana hivyo wadada walikuwa wachache plus kombi za kiume zile.
Nlizoeana nae kwa muda mfupi, coz mie mtu wa matani na story, hatimae akawa friend wangu mzuri tukisaidiana hapa na pale kimasomo na wakati mwingine kunibless vi breakfast, kifedha Mtoto alikuwa vyema sana her wallet never went dry.
As days go on, akaja jamaa mwingine ,huyu jamaa alisoma advance then akastop kama sio kuhama hivyo akaja kuanza nasi Tena form5.
Picha linaanza jamaa alikuwa vyema kichwani na katika watu tuliofanya vyema darasani kwetu naye ni mojawapo. Basi mwalimu alikuwa na mtindoo wa kutoa maswali na kuita mtu akaelekeze pale mbele, kwakuwa jamaa alikuwa ashayasoma madude akawa anatukimbiza sasa.
Anna na mie tulikuwa marafiki wa kushibana sana kiasi kwamba wadau wakahisi mie natoka nae mtoto mzuri wa kisukuma, basi jamaa kwakuwa alikuwa anachemka fasta kama engine ya petrol akaiiba attention ya Anna kwangu, akahamishiaa Kwa jamaa wakawa marafiki na zaidi ya kwangu tulivokuwa.
Aiseee niliumia sana japo hakuwa mpenzi wangu lakini wivu sijui ulitokea wapi, days go on nikazoeaa na wakawa wanadate but still wadau waniita baba Anna na kunikejeli kuwa nilizingua mtoto alinielewa na kweli mtoto alikuwa kanielewa tatizo at that time nlikuwa mtu wa dini sana na udini huo ulikuja kuisha baada ha kwenda jeshini , jeshini sio poaa wale jamaa wanakubadir akili kabisaa.
Mwisho wa mhula umefika, mtoto nikamfata nikamuomba namba yake, akasema hapana naomba yako nitakupigia , nikampa lakini hakupiga kuanzia siku hiyo nikaanza kumpotezea hata wakati tumefungua shule sikuwa na time naye Hadi akawa anahisi kuna kitu haiko sawa, till today sijawahi kuwa na namba yake.
Nlichojifunza, labda Anna angeendelea kuwa NAMI tukisaidiana kimasomo na urafiki Kam kawa lakini baada ya A man of value kuja akahamisha attention yake kwangu kisa sijui projectile motion
Kisa Cha pili naandika wakati unasoma hiii
Refer the heading above, naanza na visa viwili au vitatu kulingana na mada tajwa hapo juu.
Kisa Cha kwanza.
Kipindi Niko advance nilifahamiana na dada mmoja wa kisukuma alikuwa akiitwa Anna, mdada mrembo kisura haswaa, macho mazuri, guu la maana kweli,mlaini, vidole virefu vya mikono, urefu wastani, tank alikuwa nalo, mweupe, lips nzuri halafu na mwendo wa maringo yule dogo alikuwa funiko.
Anna alikuwa mdada mwenye tabasamu zuri, ongea ya kudeka na kicheko kizuri aiseee sijui unanipata we msomaji, she was a perfect girl in my sight. On top of that she was very bright sijui clever amongst girls in the class na ashatukimbiza mara kibao tu lakin mapenzi yalimchanga hakumaliza mwendo vyema Hadi walimu wakawa wanamuita kumshauri aachane na mapenzi yakuanzia advance
Alikuwa mdau wa back bencher kama mie, kipindi tumeanza ripoti shule tulikuwa wachache sana hivyo wadada walikuwa wachache plus kombi za kiume zile.
Nlizoeana nae kwa muda mfupi, coz mie mtu wa matani na story, hatimae akawa friend wangu mzuri tukisaidiana hapa na pale kimasomo na wakati mwingine kunibless vi breakfast, kifedha Mtoto alikuwa vyema sana her wallet never went dry.
As days go on, akaja jamaa mwingine ,huyu jamaa alisoma advance then akastop kama sio kuhama hivyo akaja kuanza nasi Tena form5.
Picha linaanza jamaa alikuwa vyema kichwani na katika watu tuliofanya vyema darasani kwetu naye ni mojawapo. Basi mwalimu alikuwa na mtindoo wa kutoa maswali na kuita mtu akaelekeze pale mbele, kwakuwa jamaa alikuwa ashayasoma madude akawa anatukimbiza sasa.
Anna na mie tulikuwa marafiki wa kushibana sana kiasi kwamba wadau wakahisi mie natoka nae mtoto mzuri wa kisukuma, basi jamaa kwakuwa alikuwa anachemka fasta kama engine ya petrol akaiiba attention ya Anna kwangu, akahamishiaa Kwa jamaa wakawa marafiki na zaidi ya kwangu tulivokuwa.
Aiseee niliumia sana japo hakuwa mpenzi wangu lakini wivu sijui ulitokea wapi, days go on nikazoeaa na wakawa wanadate but still wadau waniita baba Anna na kunikejeli kuwa nilizingua mtoto alinielewa na kweli mtoto alikuwa kanielewa tatizo at that time nlikuwa mtu wa dini sana na udini huo ulikuja kuisha baada ha kwenda jeshini , jeshini sio poaa wale jamaa wanakubadir akili kabisaa.
Mwisho wa mhula umefika, mtoto nikamfata nikamuomba namba yake, akasema hapana naomba yako nitakupigia , nikampa lakini hakupiga kuanzia siku hiyo nikaanza kumpotezea hata wakati tumefungua shule sikuwa na time naye Hadi akawa anahisi kuna kitu haiko sawa, till today sijawahi kuwa na namba yake.
Nlichojifunza, labda Anna angeendelea kuwa NAMI tukisaidiana kimasomo na urafiki Kam kawa lakini baada ya A man of value kuja akahamisha attention yake kwangu kisa sijui projectile motion
Kisa Cha pili naandika wakati unasoma hiii