Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Inakuaje Wakulungwa I hope mko poa, Direct to the topic
The King of Afternoon radio shows,Hamis Mandi aka Bdozen,B12,B Twelve,B Twangala Twizzy,B kumi na Bee,B Wherever,The Navigator himself, The Born 2 Shine Clothing line CEO,,Baada ya Kuondoka Clouds Media Group (CMG)ambapo alikua aki'run Show ya Xtra Xtra Large(XXL)Kubwa kuliko akiwa na Kenedy the R'reeee,Adam Mchomvu,Mami Baby,Meena Ally na Perfect Crispin,, Presenter huyu Role model wa machalii wengi wenye dreams kwenye Journalism especially upande wa Entertainment aliamua kutimkia EFM&TVE...
Tangu atangaze kuhamia EFM hakuwahi kutangaza anaenda kutangaza kipindi gani pale Uswahilini,,Lakin Jana aliamua kuweka wazi kuwa sasa rasmi kabisa kuañzia wiki hii ataskika kwenye kipindi chake kipya kilichobatizwa jina la "E20 Na Dozen" Mala moja kwa wiki siku ya Jumamosi,,Ataishi apo..
So Get ready,Unamjua Twangala wewe??Tuishi nae2 maana Waswahili ni watu wengine...
@NgarenaroBoy
The King of Afternoon radio shows,Hamis Mandi aka Bdozen,B12,B Twelve,B Twangala Twizzy,B kumi na Bee,B Wherever,The Navigator himself, The Born 2 Shine Clothing line CEO,,Baada ya Kuondoka Clouds Media Group (CMG)ambapo alikua aki'run Show ya Xtra Xtra Large(XXL)Kubwa kuliko akiwa na Kenedy the R'reeee,Adam Mchomvu,Mami Baby,Meena Ally na Perfect Crispin,, Presenter huyu Role model wa machalii wengi wenye dreams kwenye Journalism especially upande wa Entertainment aliamua kutimkia EFM&TVE...
Tangu atangaze kuhamia EFM hakuwahi kutangaza anaenda kutangaza kipindi gani pale Uswahilini,,Lakin Jana aliamua kuweka wazi kuwa sasa rasmi kabisa kuañzia wiki hii ataskika kwenye kipindi chake kipya kilichobatizwa jina la "E20 Na Dozen" Mala moja kwa wiki siku ya Jumamosi,,Ataishi apo..
So Get ready,Unamjua Twangala wewe??Tuishi nae2 maana Waswahili ni watu wengine...
@NgarenaroBoy