P peace11 Member Aug 28, 2019 5 0 Aug 28, 2019 #1 Wadau eti nani anajua vizuri hii course na je ina ajira? Na ina tofauti gani na bcom in finance kwa pale udsm?
Wadau eti nani anajua vizuri hii course na je ina ajira? Na ina tofauti gani na bcom in finance kwa pale udsm?
Kibua JF-Expert Member Jan 3, 2012 509 1,336 Aug 28, 2019 #2 For my advice go for B.com finance ipo broad zaidi kuliko hio nyingine ambayo ipo too specific kwny banking only.! Kuhusu ajira usiwaze sana kwa sasa wee soma kwa bidii then after mambo mengine Mungu atajalia huko mbele
For my advice go for B.com finance ipo broad zaidi kuliko hio nyingine ambayo ipo too specific kwny banking only.! Kuhusu ajira usiwaze sana kwa sasa wee soma kwa bidii then after mambo mengine Mungu atajalia huko mbele
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,056 141,868 Aug 28, 2019 #3 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: mahondaw
Tajiri Kichwa JF-Expert Member Apr 2, 2017 9,019 21,913 Aug 28, 2019 #4 Kasome kwanza then uje tutafuta tukupatie connection ..mambo ku guarantee ajira mkuu sio zama hizi