kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,745
Tuko kwenye vimbweta vya chuo hapa tunapiga story mbili tatu, mara ubishi ukazuka, na ubishi wenyewe ulikua ni kati ya bcom in accounting ya udsm na BAF ya Mzumbe ipi iko poa sana katika job market,
kila mmoja wetu alikua anavutia kamba kwake, so hatukupata muafaka, nikaona ngoja niwaulize nyie mlioko huko kwenye field husika huko maofisini na mitaa mtupe experiences zenu.
so naombeni michango yenu ya mawazo kwenye hili waheshimiwa.
karibuni
kila mmoja wetu alikua anavutia kamba kwake, so hatukupata muafaka, nikaona ngoja niwaulize nyie mlioko huko kwenye field husika huko maofisini na mitaa mtupe experiences zenu.
so naombeni michango yenu ya mawazo kwenye hili waheshimiwa.
karibuni