Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,091
- 5,279
Even with the addition sh50b, bado haijapita 15%. Budget ilikua 2.7trillion.Mashashola
Hii hapa speech ya Uhuru mwaka wa 2017 akiongea pale bungeni alipojisifu kwamba yeye amefanya beyond 15% minimum revenue ser by the law.
View attachment 1784293
Alafu Huyu hapa Uhuru akiahidi maseneta kwamba ataongezea county $500million (Ksh50 B) mwaka ujao iwapo watapitisha revenue sharing formulae. Hapa alikua hajaongelesha mtu yeyote na akiahidi hizo pesa zote, unafikiri alikua ameongea na nani kama so treasury kumwambia kwamba hizo pesa zinaweza kupatikana? Yeye kama rais ndo anaseti agenda ya serekali na priority zake, mwanzo vile ako na majority pale bungeni hata hua hapati upinzani wowote. Kwahivyo Hana haja ya kugeuza katiba kutimiza hio 35%.
View attachment 1784303
Alafu tunafaa tuwe makini sana kuseti vitu specific viekwe permanent kwa constitution. Ukiangalia katiba yetu, vipengee vingi sana vimewekwa kama guidelines na sio specific. Inafaa iwe jukumu la bunge kufafanua katiba kwa kutunga Sheria specific zinazo support vipengee vya katiba. Kwa mfano hii ya revenue sharing, afadhali wageuze katiba iseme 'revenue will be shared according to varying economic circumstances of the country" na hili jukumu la kuamua what are economic circumstances litungiwe indipendent revenue commision ambayo itakua na jukumu la kuamua. Sawa sawa na vile SRC inaamua mishahara ya civil Cervantes. Mfumo huu utafanya katiba yetu iwe inaweza kukaa hata miaka 100 bila kuhitaji kugeuzwa. Lakini ukigeuza katiba kusema eti from 15% to 35% minimum, je kukawa na world war ama hata vita na nchi nyingine kusababisha Rais kama commander in chief kuhitaji bajeti kubwa ili kuwezesha nchi kutengeneza sana za kivita na ku sustain vita vya mda mrefu, itakua hauwezi kugusa hizo 35% manake zimewekwa permanent kwa katiba. Je miaka 30-50 kutoka Sasa Kenya ikawa imeendelea hadi county zinakusanya Kodi za kutosheleza mahitaji yao hadi wanabakisha change, alafu huku katiba inasema lazima wapewe minimum 35% na serekali kuu.
Hii ni sababu moja ndo maana na support mahakama kutupilia mbali BBI, kama wangefwata Sheria kugeuzwa katiba, tungekua tuliwapea mawaidha kama haya. Wale wa BBI walizunguka wakiuliza watu shida zao ni mini alafu wakaenda wakatunga Sheria ambazo wanasema 'zita tatua shida zetu', hawakurudi tena kwa wananchi tujadili kama kweli hizo Sheria walizoandika zitafanya wanayosema, infact walisema hata hakuna ruksa ya kugeuzwa walichoandika! Kwani wao ndo miungu ya katiba!