BBC yaponda tiba ya Loliondo, walinganisha na mauaji ya Albiino

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Vyombo vya habari vya Magharibi vinatudharau sana Waafrika. Soma hapa wanavyozungumzia tiba ya Loliondo kusema Wa Tz watu wanaojihusisha na ushirikina hata kuuwa Albino kwa imani hizo. Kwanini wasiulize kama dawa inatibu badala ya kuwa na mtazamo hasi tu?

28 March 2011 Last updated at 10:22 GMT Tanzanian 'miracle' pastor Mwasapile calls for a break

_51865362_img_6192.jpg
Experts are investigating the safety of Mr Mwasapile's (left) cure
A Tanzanian pastor has asked people to stop going to his remote home for a "miracle cure" after thousands flocked there, causing chaos in the surrounding area.
Rev Ambilikile "Babu" Mwasapile, 76, says he does not want any new arrivals until after Friday 1 April, to let the crowds die down.
Local media report that about 52 people have died while waiting to see him.
A BBC reporter says the queues to see him stretch for 26km (16 miles).
Belief in magic and the powers of traditional healers are widespread in Tanzania.
Some witchdoctors say that the body parts of people with albinism are effective when making magic charms, leading to the killing of dozens of albinos in recent years.
Mr Mwasapile's concoction is made from herbs and water, which he sells for 500 Tanzanian shillings (five cents; 3p).
Medical experts in Tanzania are investigating both whether it is safe and if it has any medicinal properties.
When she visited Mr Mwasapile's home near the northern Loliondo town recently, the BBC's Caroline Karobia found 6,000 people waiting to see the retired Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT) pastor.
_51865366_img_6092.jpg
The queues stretched for 26km (16 miles) down the road
They are waiting for days by the roadside and outside his home in Samunge village without shelter, clean water or toilets.
As word has spread in the past month of the pastor's supposed ability to cure any ailments, some people have even been taken out of hospital by their relatives who believe they are more likely to be cured by Mr Mwasapile.
Some of these have died before seeing him, while others are reported to have died after taking his concoction.
Extra police have been deployed to the area to control the huge crowds, some of whom have travelled from neighbouring countries such as Kenya and even further afield.
Mr Mwasapile asked for the break following a meeting with local officials.
 
... the shortest-cut appears that of seeking miracles. Other tales are about dreamers seeking miracles to wake up rich after the poverty of the previous night. The power of charms. As reported correctly, some are concocted out of human parts. The other day I read about this bloke who killed his wife and curved out her sexual parts for sale to the highest bidder, for use in making charms. As for albino killings, human skins, baby parts stolen from morgues etc are typical stories you come across now and then. Are tanzanians that backward?
 
ingekua loliondo kumeibuka vita,vyombo vya habari vya mangalibi,loliondo inge make headlines. Ila coz hili ni pigo kwa dawa zao za ARV,na kisukari.kimya.Tukatae ukoloni milele
 
Hata sisi TULILIKATAA li-RADA lao la KIFISADI.

Ila wakatumia Mabavu na tukaletewa.

Nashukuru wamekosa Mteja wa Kumuuzia Mianzi ya Nyuklia, maana Mjapan sidhani kama atanunua tena.

Hizi DDT mbona wametuuzia miaka kibao na Asbestos na wakaja wenyewe kusema HAZIFAI.

Wajifunze na wao kuheshimu vya wengine. Ukweli ni kuwa ndiyo kwanza wanaitangaza.
 
Mti unaotumiwa kwa dawa na babu umeanza kutumika zamani na utafiti wa kisayansi umeonyesha unatibu. Tafiti hizo hazikufanyiwa kazi, MUNGU kwa kupenda WAJA WAKE akaamua kumuotesha Babu aitengeneze ili WAPONE. Kitaalamu mti huo unaitwa "Carissa edulis" na kumbukumbu ya tafiti hizo zipo. Inaelekea Mwandishi huyo wa BBC amekosa upeo wa utafiti. Dawa ya Babu sio ushirikina ni dawa ya miti-shamba ambazo zinatumiwa karibu kote ulimwenguni.
 
Wako sawa kabisa! what is the difference btn a witch doctor and Babu? a title Rev?
 
Watanzania tu washirikina sana! Elimu bado inahitajika kubwa. Bado tunaishi karne ya 13 'medieval ages.' Haiwezekani karne hii watu bado wanaishi kwa kutegemea 'imani.' Tutaangamia watz tusipobadilika. Ndio maana nashauri hata katika katiba yetu mpya iwe stated clearly kwamba tanzania ni nchi inayofuata misingi ya 'rationality.' / au 'rational principals'
 
Mbona hata Kenya walishafanya sana utafiti kuhusu huu mti na umeonyesha unatibu magojwa ya Herpes virus. Check hii article hapa. Hawa wazungu bana kitu kikitoka kwao fresh ila kwetu kinaitwa uchawi...
 
Kuna tofauti gani kati ya chinese medicine na hii ya babu! Ooh yah, hii ya babu inatibu magonjwa sugu.
 
Hata sisi TULILIKATAA li-RADA lao la KIFISADI.

Ila wakatumia Mabavu na tukaletewa.

Nashukuru wamekosa Mteja wa Kumuuzia Mianzi ya Nyuklia, maana Mjapan sidhani kama atanunua tena.

Hizi DDT mbona wametuuzia miaka kibao na Asbestos na wakaja wenyewe kusema HAZIFAI.

Wajifunze na wao kuheshimu vya wengine. Ukweli ni kuwa ndiyo kwanza wanaitangaza.

well said mkuu
 
What about american evangelical churches who claim to perform miracles every now and then? are they not educatated? Na sisi watu weusi tunaimba tu kama kasuku kwamba vya kwetu havifai. Mimi nipo Arusha nina ushahidi wa kutosha watu wamepata nafuu sana. Ukipenda unaweza kuita ushirikina lakini as long as watu wanapona they don't care ! Maadamu paka anakamata panya basi hawataangalia rangi yake !!
 
ingekua loliondo kumeibuka vita,vyombo vya habari vya mangalibi,loliondo inge make headlines. Ila coz hili ni pigo kwa dawa zao za ARV,na kisukari.kimya.Tukatae ukoloni milele

Je, wewe umefikiria vizuri zaidi na kutafakari kabla ya kukimbilia kwenye ukoloni? Je una uelewa mzuri na uwezo wa kutofautisha kati ya medicine na miracle? Je, dawa ya babu wa loliondo ina-qualify kwenye group lipi- miracle au medicine? Je unajua kwamba miracle ina properties zipi, na medicine je? Je is it possible kwa kuwa dawa na yenye qualities zote za medicine na miracle at the same time? Kwa kuamini kwenye maandiko matakatifu kwa wakristo, medicine is a medicine, na miracle ni miracle period.
 
vyombo vya habari vya magharibi vinatudharau sana waafrika. Soma hapa wanavyozungumzia tiba ya loliondo kusema wa tz watu wanaojihusisha na ushirikina hata kuuwa albino kwa imani hizo. Kwanini wasiulize kama dawa inatibu badala ya kuwa na mtazamo hasi tu?

28 march 2011 last updated at 10:22 gmt tanzanian 'miracle' pastor mwasapile calls for a break

_51865362_img_6192.jpg
experts are investigating the safety of mr mwasapile's (left) cure
a tanzanian pastor has asked people to stop going to his remote home for a "miracle cure" after thousands flocked there, causing chaos in the surrounding area.
Rev ambilikile "babu" mwasapile, 76, says he does not want any new arrivals until after friday 1 april, to let the crowds die down.
Local media report that about 52 people have died while waiting to see him.
A bbc reporter says the queues to see him stretch for 26km (16 miles).
Belief in magic and the powers of traditional healers are widespread in tanzania.
Some witchdoctors say that the body parts of people with albinism are effective when making magic charms, leading to the killing of dozens of albinos in recent years.
Mr mwasapile's concoction is made from herbs and water, which he sells for 500 tanzanian shillings (five cents; 3p).
Medical experts in tanzania are investigating both whether it is safe and if it has any medicinal properties.
When she visited mr mwasapile's home near the northern loliondo town recently, the bbc's caroline karobia found 6,000 people waiting to see the retired evangelical lutheran church of tanzania (elct) pastor.
_51865366_img_6092.jpg
the queues stretched for 26km (16 miles) down the road
they are waiting for days by the roadside and outside his home in samunge village without shelter, clean water or toilets.
As word has spread in the past month of the pastor's supposed ability to cure any ailments, some people have even been taken out of hospital by their relatives who believe they are more likely to be cured by mr mwasapile.
Some of these have died before seeing him, while others are reported to have died after taking his concoction.
Extra police have been deployed to the area to control the huge crowds, some of whom have travelled from neighbouring countries such as kenya and even further afield.
Mr mwasapile asked for the break following a meeting with local officials.

waafrika (tanzania) tuelimike. Dawa tunazo ziita za kisasa vidonge/sindano nyingi zimetokana na miti. Tabia ya kushabikia vitu vilivyotengenezwa na mzungu au mchina ndiko kumetufikisha hapa tulipo. Wazungu walipokuja kwenu tulikuwa na dawa zetu, elimu yetu na watu wetu waliishi miaka mingi (life expectance) kuliko leo. Hatukuweza kuendeleza sayansi yetu kwa kuwa iliitwa ya kishenzi-laiti tungeendeleza tungeweza kugundua mambo mengi ambayo yangekuwa msaada kwa dunia hii. Leo wachina wanatupa dawa za miti yao tunaamini; ila zile za miti zetu mwataka "tuziite za kishenzi??!!!!!" haya ni mawazo mgando. Cha msingi kama watu wanapona ni wajibu wa watanzania /wataalam "to dig deep" kuhusu dawa hii ili kesho na kesho kutwa iwe tanzania ndo ya kwanza duniai kuponyesha magonjwa sugu. We can do it. Hakuna kukubali kiurahisi mambo ya wazungu-hiyo imeshapitwa na wakati. Believe in your self-tanzanians, na fanya utafiti.
 
kama inatibu mbona hawa ambao wameisha kunywa hiyo dawa wengi wao hawajapona? hasa watu wa HIV kama wamepona tunaomba ushuhuda wengi wao utasikia nimepata nafuu lakini siyo kupona kabisa kwanini ?
 
mchina akila chakula na sijuji chopstick tunasema mtaalam, mhaya akiweka chakula kwenye majani ya mgomba tunasema mshamba. Kazi kweli kweli.
 
What about american evangelical churches who claim to perform miracles every now and then? are they not educatated? Na sisi watu weusi tunaimba tu kama kasuku kwamba vya kwetu havifai. Mimi nipo Arusha nina ushahidi wa kutosha watu wamepata nafuu sana. Ukipenda unaweza kuita ushirikina lakini as long as watu wanapona they don't care ! Maadamu paka anakamata panya basi hawataangalia rangi yake !!

All beliefs in the supernatural are essentially the same to me, iwe mungu, shetani, uganga wa kienyeji (uaguzi na faith healing, not herbalism) angels, the loch ness monster, St. Claus, popobawa etc etc. All are beliefs based on ignorance or at best unfounded claims.

Kwa hiyo mi sioni tofauti kati ya hao Wamarekani na wanaomuamini babu na wale wanaoomba ili mvua inyeshe.
 
waafrika (tanzania) tuelimike. Dawa tunazo ziita za kisasa vidonge/sindano nyingi zimetokana na miti. Tabia ya kushabikia vitu vilivyotengenezwa na mzungu au mchina ndiko kumetufikisha hapa tulipo. Wazungu walipokuja kwenu tulikuwa na dawa zetu, elimu yetu na watu wetu waliishi miaka mingi (life expectance) kuliko leo. Hatukuweza kuendeleza sayansi yetu kwa kuwa iliitwa ya kishenzi-laiti tungeendeleza tungeweza kugundua mambo mengi ambayo yangekuwa msaada kwa dunia hii. Leo wachina wanatupa dawa za miti yao tunaamini; ila zile za miti zetu mwataka "tuziite za kishenzi??!!!!!" haya ni mawazo mgando. Cha msingi kama watu wanapona ni wajibu wa watanzania /wataalam "to dig deep" kuhusu dawa hii ili kesho na kesho kutwa iwe tanzania ndo ya kwanza duniai kuponyesha magonjwa sugu. We can do it. Hakuna kukubali kiurahisi mambo ya wazungu-hiyo imeshapitwa na wakati. Believe in your self-tanzanians, na fanya utafiti.

Sasa hebu chukua mizizi ya muugamuryaga ukachemshe unywe. Mbona una-mix topic? Hii ni dawa ya mizizi au tiba ya miujiza. Ulitegemea waseme nini hapo. Wakitaka kuchukua sample, mwadai hamtaona kitu humo! Wakiita viini macho mnadai waafrika mnadharauliwa. Then which is which.
 
waafrika (tanzania) tuelimike. Dawa tunazo ziita za kisasa vidonge/sindano nyingi zimetokana na miti. Tabia ya kushabikia vitu vilivyotengenezwa na mzungu au mchina ndiko kumetufikisha hapa tulipo. Wazungu walipokuja kwenu tulikuwa na dawa zetu, elimu yetu na watu wetu waliishi miaka mingi (life expectance) kuliko leo. Hatukuweza kuendeleza sayansi yetu kwa kuwa iliitwa ya kishenzi-laiti tungeendeleza tungeweza kugundua mambo mengi ambayo yangekuwa msaada kwa dunia hii. Leo wachina wanatupa dawa za miti yao tunaamini; ila zile za miti zetu mwataka "tuziite za kishenzi??!!!!!" haya ni mawazo mgando. Cha msingi kama watu wanapona ni wajibu wa watanzania /wataalam "to dig deep" kuhusu dawa hii ili kesho na kesho kutwa iwe tanzania ndo ya kwanza duniai kuponyesha magonjwa sugu. We can do it. Hakuna kukubali kiurahisi mambo ya wazungu-hiyo imeshapitwa na wakati. Believe in your self-tanzanians, na fanya utafiti.

Lakini ni miti inayotibu kwa contents zake.
 
ingekua loliondo kumeibuka vita,vyombo vya habari vya mangalibi,loliondo inge make headlines. Ila coz hili ni pigo kwa dawa zao za ARV,na kisukari.kimya.Tukatae ukoloni milele
...Unajidanganya kudhani babu ni tishio kwa makampuni ya dawa? Unasemaje kuhusu ngozi ya na viungo vya Albino,nilitishia uimara wa uchumi wa nchi za magharibi? Hii ni aibu kwa taifa kuwa na mlolongo wa matukio ya kishirikina na imani potofu katika karne hii ya 21
 
waafrika (tanzania) tuelimike. Dawa tunazo ziita za kisasa vidonge/sindano nyingi zimetokana na miti. Tabia ya kushabikia vitu vilivyotengenezwa na mzungu au mchina ndiko kumetufikisha hapa tulipo. Wazungu walipokuja kwenu tulikuwa na dawa zetu, elimu yetu na watu wetu waliishi miaka mingi (life expectance) kuliko leo. Hatukuweza kuendeleza sayansi yetu kwa kuwa iliitwa ya kishenzi-laiti tungeendeleza tungeweza kugundua mambo mengi ambayo yangekuwa msaada kwa dunia hii. Leo wachina wanatupa dawa za miti yao tunaamini; ila zile za miti zetu mwataka "tuziite za kishenzi??!!!!!" haya ni mawazo mgando. Cha msingi kama watu wanapona ni wajibu wa watanzania /wataalam "to dig deep" kuhusu dawa hii ili kesho na kesho kutwa iwe tanzania ndo ya kwanza duniai kuponyesha magonjwa sugu. We can do it. Hakuna kukubali kiurahisi mambo ya wazungu-hiyo imeshapitwa na wakati. Believe in your self-tanzanians, na fanya utafiti.

Ndugu yangu unajichanganya kwenye hoja yao.....huo mti sio dawa, ni mkono wa babu na kikombe chake ndio dawa. sasa wataalamu watadig deep wapi? babu mwenyewe kasema hata wapime hawaoni kitu!!! haya ndio yale yale ya kusema kuruka na ungo angani usiku na kusafiri na fisi kufanyiwe utafiti tuwe na ndege zetu
 
Back
Top Bottom