BBC yapigwa marufuku kurusha matangazo nchini China

Yeah imeleta balance of power Safi sana yaani ...

Uingereza huwa inajikuta Kama vile wao bado Ni super power wakati pale ulaya kiuchumi kwa Sasa ujerumani ndiye anaye waburuza
China isingekuepo wala haya maendeleo ya Teknolojia yasingetufikia kwa haraka kiasi hicho.

Na sasahivi wangeshatuwekea sanctions za kihuni ila wanaogopa maana wataishia kupoteza na kumfaidisha Mchina.
 
China isingekuepo wala haya maendeleo ya Teknolojia yasingetufikia kwa haraka kiasi hicho,
Na sasahivi wangeshatuwekea sanctions za kihuni ila wanaogopa maana wataishia kupoteza na kumfaidisha mchina
Naam sahihi kabisa Tena Sana .. vitu vyao walikuwa wanaviuza aghari mnooo kitendo Ambacho kilikuwa kina chochea umasikini kwa baadhi ya mataifa ya Africa. Fikiria kama technology ya simu za mkononi ilivyo chelewa kusambaa Africa lakini alivyokuja mchina sokoni kila mtu now days anamiliki simu.
 
Waingereza wapuuzi sana, yaani wanajiona kama mini super power vile na wafitini wakubwa - kumbuka visanga chungu mzima vya kuwasingizia Putin eti anatumia sumu kuwamaliza Warusi waliokimbilia Uingereza, uongo mtupu - waingereza wenyewe ndio utumia sumu ya neva wanayo zalisha kwenye maabara yao na kuwadhulu Warusi ambao walikuwa ni double agent kwa Waingereza, wanafanya usanii huo wakiwa na lengo la kutaka Dunia itenge Urusi kiuchumi kwa madai kwamba inatumia silaha za kibailojia na kemikali zilizo pigwa marufuku Duniani - ulaghai mtupu, ujinga huu huwa wanashirikiana na CIA kuwaribia sifa viongozi wa Urusi, Uchina, Iran na Korea Kaskazini, watatumia vibaya vyombo vyao vya habari kuleta taharuki kwenye Mataifa lengwa ambayo hayataki ku-toe line za wapuuzi hawa - wanataka Mataifa ya washindani wao kiuchumi na kijeshi yasambaratike ili yasiwe tishio kwao tena, hapa wanajitia kuwatetea Wa aigur,wa Tibet,wa Hong Kong na Macao, Waislaam na Wataiwan!

Uwezi kusikia Uingereza inazungumzia chochote kuhusu kuwapatia uhuru Wairishi, wa Scotch, wa Wales,Gibraltar na visiwa vya Falkland - wako kimya kabisa kazi kuwasema sema vibaya Wachina na Warusi 24X7 as if Waingereza ni Malaika. Wamerikani hawana tofauti na Waingereza lao moja,unafiki mtupu kujifanya wanatetea haki za binadamu Duniani - kumbeee.
 
Safi sana, kuna muda UK hua inataka kui treat China kama inavyo treat nchi choka mbovu za Kiafrica.

Hapo ndipo Mchina hua anawanyoosha vizuri.
Waingereza walivyo wa ajabu eti wanalalamika BBC kufungiwa kurusha matangazo nchini Uchina, eti hawajatendewa haki, lakini waingereza kufungia channel ya Uchina kufanya matangazo nchini Uingereza hiyo wanaona ni balabala maana Waingereza watakosa kusikiliza balanced maoni ya pande zote mbili - yaani Uchina na Uingereza - Waingereza wanataka rai wao wasikilize maoni/propaganda za upande mmoja tu. Waingereza wamekubuhu kwenye nyanja za propaganda/ramli chonganishi - lakini kwa Wachina Waingereza watakikwaa kisiki ndio watakuwa wa kwanza kuomba yaishe.
 
Waingereza walivyo wa ajabu eti wanalalamika BBC kufungiwa kurusha matangazo nchini Uchina, eti hawajatendewa haki, lakini waingereza kufungia channel ya Uchina kufanya matangazo nchini Uingereza hiyo wanaona ni balabala maana Waingereza watakosa kusikiliza balanced maoni ya pande zote mbili - yaani Uchina na Uingereza - Waingereza wanataka rai wao wasikilize maoni/propaganda za upande mmoja tu. Waingereza wamekubuhu kwenye nyanja za propaganda/ramli chonganishi - lakini kwa Wachina Waingereza watakikwaa kisiki ndio watakuwa wa kwanza kuomba yaishe.
Hii nikama ile day walioikamata meli ya Iran bila sababu alaf Iran alipofanya yeye itabidi uengereza aanze kulalamika na vitaifa vyengine kama marekani ujerumani Ufaransa na mashoga zao wengine eti wakaanza kupiga kelele meli ya uengereza iachiwe
 
Hii nikama ile day walioikamata meli ya Iran bila sababu alaf Iran alipofanya yeye itabidi uengereza aanze kulalamika na vitaifa vyengine kama marekani ujerumani Ufaransa na mashoga zao wengine eti wakaanza kupiga kelele meli ya uengereza iachiwe
Mkuu, well said actually Waingereza bado wanasumbuliwa na remnant colonial hangover - hawana habari kwamba Dunia ya leo tofauti kabisa na enzi za British Empire - hakuna anaye wachukulia waingereza seriously any more, in other words UK counts so little kwenye masuala ya Geopolitics - wapo wapo tu kazi kuwatumia Intel agents wao ku-stir turmoil za kuanzisha colour revolution kwenye Mataifa lengwa - Uchina na Urusi wanalitambua sana hilo ndio maana wamejizatiti kuhakikisha kwamba that will never come to pass, wataishia kutapa tapa tu like a beatle on its back.
 
Mungu ajaalie siku moja TZ iwe na nguvu ya kuyavimbia mataifa inapoingiliwa kwenye maslah yake.
TZ ikiweza kujiimarisha uchumi wake yenyewe na isitegemee misaada ya nje "kuyavimbia mataifa mengine yanapoingilia maslahi yake" haitakuwa shida
 
Waingereza walivyo wa ajabu eti wanalalamika BBC kufungiwa kurusha matangazo nchini Uchina, eti hawajatendewa haki, lakini waingereza kufungia channel ya Uchina kufanya matangazo nchini Uingereza hiyo wanaona ni balabala maana Waingereza watakosa kusikiliza balanced maoni ya pande zote mbili - yaani Uchina na Uingereza - Waingereza wanataka rai wao wasikilize maoni/propaganda za upande mmoja tu. Waingereza wamekubuhu kwenye nyanja za propaganda/ramli chonganishi - lakini kwa Wachina Waingereza watakikwaa kisiki ndio watakuwa wa kwanza kuomba yaishe.
CGTN vs BBC
 
China isingekuepo wala haya maendeleo ya Teknolojia yasingetufikia kwa haraka kiasi hicho.

Na sasahivi wangeshatuwekea sanctions za kihuni ila wanaogopa maana wataishia kupoteza na kumfaidisha Mchina.
Akili za kitegemezi kama zao ni hasara kwa taifa, yaani mtu hawazi kuendeleza nchi yake , anawaza kusaidiwa na wachina. No wonder wachina wanataka kuwapiga madole.
 
WHO pia hawatapewa taarifa yoyote kuhusu corona.

Naona wababe Sasa wameamua kuliamsha dude
 
Back
Top Bottom