Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Kwa kusema ukweli?Tena bora apigwe risasi tu
Kwa kusema ukweli?Tena bora apigwe risasi tu
Kiukweli na Mimi nimemzika Mama yangu mdogo siku chache zilizopita.. Hadi anafariki dalili zilikuwa kama za Corona tu aliumwa siku 4 tu baadae akadae hawezi kupumua alafu anasikia kama kuna kitu kinamkaba.. Akawekwa kwe machine ya kupumua siku moja baadae akafariki.
Cha ajabu ni kwamba hadi amefafiki hospitali hawakutoa chanzo cha kifo wakachukua kipimo cha Corona lakini mpaka sasa mwezi umepita hatujapewa majibu..
Naweza kusema Mimi pia ni Muhanga wa Corona.. Mama yetu tulimpenda sana na hamna aliyewaza kama angefariki ghafla hivi maana hakuwahi kuumwa chochote kwa muda mrefu!
Wameongea na mtu tu wa chadema wanasema daktari muhimbili
a
BBC imeonyesha report kwenye tv kutoka tanzania ikionyesha serikali ikizika waliokufa kwa corona usiku wa manane.
Pia wamemuhoji Daktari wa Muhimbili aliyefunguka kuwa watu wengi wanakufa wakiwemo marafiki zake kwa Corona, amesema ni aibu na inatisha kwamba serikali inasema ugonjwa umeisha.
Pia BBC wameonyesha clip ya mchekeshaji Idriss Sultani akicheka picha ya Rais na kueleza kwamba mchekeshaji huyo aliwekwa jela kwa kosa la ajabu la kumcheka Rais.
Pia BBC wamemuhoji Zitto Kabwe aliyesema kwamba Serikali inaficha ugonjwa wa corona kwa kutaka watanzania wote wapate corona watakaokufa wafe na watakaopona wabaki na kinga.
Wangu utakuja baada ya basha wako akishafarikiMbona wewe hujafa,Msiba wako lini?
Hofu yangu uyo dactari asije kutekwa na kutoweka
Tuna Rais mkaidi haijapata kutokea yaani sijuwi wanaomshangilia kichwani zimwo kweli? au madishi yameshayumba.
Najitahidi kumsaport ila nafsi inanisuta sana sana nashindwa.
Wazushi sana mabeberu. .....Muhimbili na corona wapi na wapiBBC waongo hata haya hawana
Muhimbili hawatibu corona . Corona ina vituo maalumu vya kutibia . Hospital ya muhimbili haimo