Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
To comment on the passiong of Lucky Dube sometimes today.. will be short, to the point, n.k... najaribu kukumbuka mwaka aliokuja Tanzania...
To comment on the passiong of Lucky Dube sometimes today.. will be short, to the point, n.k... najaribu kukumbuka mwaka aliokuja Tanzania...
Saa ngapi na utakuwa kwenye kipindi gani na kwa nini wamekuomba wewe utoe maoni?
To comment on the passiong of Lucky Dube sometimes today.. will be short, to the point, n.k... najaribu kukumbuka mwaka aliokuja Tanzania...
Icadon, miye nadhani ilikuwa mapema zaidi, unless kama alikuja mara mbili. Nakumbuka nilikuwa nanunua kassette kutoka kwa 'filipino' dealer mmoja aliye base karibu na train station hapa DSM. Na tape ya mwanamziki mmojawapo ilikuwa ya huyu Dube baada ya show yake,
SteveD.
Ha ha wewe naweza nikawa nilishagongana na wewe kwa filipino, mie nakumbuka alivyokuja pale Diamond Jubilee, ikaibuka issue ya kuwa alimpenda huyo Rahma Aziz.
nimeshamaliza.. nafikiri wataweka baadaye kwenye "World Radio" English Service kipindi cha Africa Have Your Say nilikuwa mwishoni kabisa mwa kipindi