white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,307
- 13,269
Hadi sasa kwa chanjo zilizoletwa ni 80%zimeshatumika, na kwa chanjo hii iliyopo kwa sasa hakuna dose ya pili, ni moja tu.Na dozi za chanjo zilizotolewa ni 350,000!! Kwa hiyo idadi ya waliochanjwa itakuwa pungufu ya hapo maana bila shaka kunawaliokwisha kupata dozi 2.