Elections 2010 BBC wasema JK Anatarajiwa kushinda kwa kishindo!

Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi.

Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji sasa wanahofia Slaa akiingia madarakani itakuwa mwisho wao kuendelea kutunyonya.

Huo ndio ukweli, nyie mnatapatapa.

Binafsi nimefanya utafiti na matokeo nimeyatoa hapa JF. Angalia Matokeo katika Thread yangu, ndio utajua BBC wanamaanisha nini.

Hata hivyo tunawashukuru kwa kushiriki ktk kampeni. Mungu akipenda tutakutana tena 2015.
 
nami nimewasikia, ila mwishoni huyu mkenya Hasan Mhelela amempiga kidongo kwamba alienda na maswali yake akarudi nayo bila kuuliza!! kwa ujumla, bbc waandishi waloletwa nahisi walipitia kwanza ikulu...

Mkuu usisahau kuwa Tido Mhando alikuwa BBC. Kuna harufu y shombo hapo.
 
Nalipia parking Hapa kariakoo, jamaa wanasema wamechoka kesho wanafanya kweli. "eti aliulizwa swali na Yule jamaa wa FM halafu anajikanyaga kisha tena anauliza sijui nikujibu nini".

Kila mtu amemchoka Kikwete, ni mafisadi tu na familia zao ndo wanamtaka, nobody else mpaka vijijini hawamtaki kipindi hiki.
 
Kila mtu amemchoka Kikwete, ni mafisadi tu na familia zao ndo wanamtaka, nobody else mpaka vijijini hawamtaki kipindi hiki.

Acha maneno matupu! WEWE NDIO UMEMCHOKA, SISI TWAMUONA BONGE LA RAIS.

ULINGANISHO: Mh MLIMA KILIMANJARO, WAKATI MH SLAA NI KICHUGUU.
 
Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi.

Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji sasa wanahofia Slaa akiingia madarakani itakuwa mwisho wao kuendelea kutunyonya.

Ushindi wa kishindo ni kwa manufaa ya nani?
Ushindi wa kishindo uambatane na kushuka kwa bei ya unga na maharage.
Ushindi wa kishindo uambatane na kushuka kwa bei ya mafuta ya taa.

anataraji ushindi wa kishindo huku mifumuko ya bei ikiwa imeshika kasi na huku vijana wake wako pale Chalinze wakiuza machanuo na mihindi kwa abiria waendao Bara na wanaokuja Dar...

Tusitumie vichwa kubebea masikio na nywele.
Ni upuuzi huu
 
Ukweli unauma sio? Kikwete atashinda hata ukilala kwenye kituo cha kupiga kura!

Hahahahah, Kibunango naona unapigilia hadi dakika za mwisho, yaelekea taratibu washabiki wa Chadema wanaanza kukubali ushindi wa JK...JF patanoga baada ya uchaguzi huu.
 
kama kura zingukuwa ni miji mikubwa peke yake, basi chadema wangeshinda lakini kuna wilaya za ndanindani huko... kuna pembe & unguja ! CCM lazima washinde hata kuama sio kwa kishindo. kama kweli wanataka kuiangusha CCM inabidi wapinzani wajipange kuungana 2015 wasimamishe mgombeq mmoja. neways anything can happen! anytime,

MUNGU IBARIKI TZ! tunataka AMANI tu! ashinde mzee slaa au dr. J.K
 
Inajulikana wazi kama Kikwete anashinda ,Je unajua kuwa wengi wa wanaohudhuria mikutano ya upinzani hawakujiandikishaa ? Hii ni hasara na ni kosa kwa vyama vya upinzani kutoweza kuwashawishi wananchi katika hekaheka za kujiandikisha ,hasara ndio hii.

Hivi ni nani aliyekudanganya kuwa wanaohudhuria mikutano ya Dr wa kweli hawajajiandikisha kupiga kura? Unajidanganya, Dr Slaa sio Mrema wa 1995. Hiki ni kitu tofauti kabisa. HATUDANGANYIKI
 
May I be the first to Congratulations Kikwete kwa kushinda kwa kishindo:nono::doh:

acid, ACID--- siamini macho yangu kama unaweza kutuma message ya HOVYO HOVYO namna hiyo asubuhi hiii wakati ndo kwanza watu ndo wanaelekea vituoni....
 
tido muhando alimpigia chapuo kikwete 2005 na sasa kaula tbc. acha nao wampigie chapuo 2010 ili waje kuula mwakani. si unaona salva rwemamu wa kurugenzi ya habari ikulu? naye si alikuwa mwandishi wa habari wa gazeti la rai? nae si kaula?
tuwe amcho na vyombo vya habari vya magharibi si kwa maslahiyetu bali ya nchi zao. usidanganyike kwa vike wanaongea kiswahili la hasha!
 
Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi.

Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji sasa wanahofia Slaa akiingia madarakani itakuwa mwisho wao kuendelea kutunyonya.

Jamani msisahau kule UK BBC inasemekana itafunga baadhi ya idhaa zake, jamaa inawezekana wanajikomba ili wakija Tido awachukue?
 
Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi.

Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji sasa wanahofia Slaa akiingia madarakani itakuwa mwisho wao kuendelea kutunyonya.

Acha kulalama, matokeo yataanza kutoka kesho ya Urais.
 
kweli hwa ndio maana Nyerere aliwachukia sana,hata kipindi kile akatofautiana na Mtei kuhusu IMF/WB ,maana hawa jamaa wanataka waendelea kuwaongoza kama wanavyotaka,kiboko yao ni ni docta wa kweli ndio watakoma maana mikataba yote ni lazima kwanza ivunjwe then ndio tunakaa nao meza moja.:tape:
 
BBC wana njaa kama mnavyo waona akina kibonde Tido na mafara wengine wa RA wa magazet ya Rai, hamna kitu, kwanza munisamehe waandishi walioko humu.

Zamani hii profession haikuwepo. watu walianzia kupiga picha wakazoea wakaanza kutunga hadith mpaka wakajua kidogo. Labda tusiwalaumu make bila kutangaz BBC hawawezi fanya kazi nyinge. Wanaboa!
 
Jamani kishindo kinatoka wapi??? Uliza wana JF walio mikoani wakupe ipepo unavyovuma
 
Jamani mkimpa Slaa,cjui wapi atatoa wawekezaji,mmh jamani angalieni Slaa anaudini sana,mkimpa kura mjue nchi itakuwa ya Mayahudi n Maroma,aha ndio maana sera za CHADEMA N CUF HURUHUSIWI KUWA NA MKE,JAMANI MSIJE MKAMPA NCHI MHUNI AITAWALE
 
Acha maneno matupu! WEWE NDIO UMEMCHOKA, SISI TWAMUONA BONGE LA RAIS.

ULINGANISHO: Mh MLIMA KILIMANJARO, WAKATI MH SLAA NI KICHUGUU.

Na we acha za kuleta nani anamtaka mtu asiye na uwezo wa kuona mbali, anacheka cheka ovyo tu hata kwa mambo serious? anawanadai mafisadi hata alio washitaki mwenyewe?

Yaani anaye mshangilia mtu wa namna hii kwamba ni raisi bora, nina wasi wasi naye hali yake ya mafikara kama kweli anauachia ubongo wake ufanye kazi ama basi ni uchumia tumbo tu ndo unamsukuma!


 
Wametangaza katika taarifa Yao ya habari saa 12 asubuhi. Wanadai sababu za ushindi wake ni mafanokio yake katika kukuza uchumi.

Hii inaashiria nchi zinazotunyonya kupitia kinachodaiwa uwekezaji sasa wanahofia Slaa akiingia madarakani itakuwa mwisho wao kuendelea kutunyonya.
Interesting, kwa vile BBC World idhaa ya Kiingereza inatangaza kwamba Kikwete ana ushindano mkubwa sana kutoka vyama viwili vya upinzani. Mnadhani ni kwa nini kuna versions hizi mbili tofauti?
 
Back
Top Bottom