ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,550
- 44,701
BBC Siku hizi ni mabingwa wa fake news kwa kweli mmeshuka sana thamani kwa habari zenu za mtandaoni hasa BBC swahili nikiingia kwenye page yao nakuta habari za kitoto za uzushi..Idhaa bora kwa sasa naona ni DW hata documentaries zao zinafikirisha.