Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,347
- 6,471
Jambo la kwanza ungetafuta vigezo vilivyotumika na namna ya vilivyotumika kupima uwezo wa kijeshi!BBC wa ajabu Sana hawa.
Eti Tanzania ni nchi ya 23 kwa nguvu za kijeshi. Eti Congo DRC ni ya 10. Uganda 14 na Kenya 12.
1. Egypt, 2. Algeria 3. Nigeria 4 south Africa 5. Ethiopia 6. Angola 7. Sudan 8. Morocco 9.Libya na 10 ni Congo DRC.
Maajabu hayaishi duniani. Mbona Libya, Ethiopia, Congo DRC na Nigeria vita kibao na uimara huo wa Majeshi yao?
Source: BBC Swahili news.