Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,006
- 9,872
Ayanda Charlie muandishi wa habari za kiuchunguzi ameandaa makala kuonesha utapeli wa makampuni ya biashara za mtandao yaliyotapakaa katika nchi za Afrika.
Anasema makampuni husika hupata hela kwa kupata mtu mpya anayejiunga, hii ndio sababu huwaambia watu wao kwamba, kuwa milionea ni lazima uwashawishi watu wajiunge.
Wamiliki hutajirika na huwaonesha wengine watakuwa matajiri huku kiuhalisia ikiwa ni kuwaibia fedha zao na kuwaacha katika hali mbaya kiuchumi.
Utapeli huu umetapakaa zaidi Afrika, nchi kama Paraguay, New Zealand, Ufilipino, Vietnam, Mauritius, Burundi, Namibia, Gabon na Ivory Coast zimepiga marufuku aina hiyo ya utapeli.
Anasema makampuni husika hupata hela kwa kupata mtu mpya anayejiunga, hii ndio sababu huwaambia watu wao kwamba, kuwa milionea ni lazima uwashawishi watu wajiunge.
Wamiliki hutajirika na huwaonesha wengine watakuwa matajiri huku kiuhalisia ikiwa ni kuwaibia fedha zao na kuwaacha katika hali mbaya kiuchumi.
Utapeli huu umetapakaa zaidi Afrika, nchi kama Paraguay, New Zealand, Ufilipino, Vietnam, Mauritius, Burundi, Namibia, Gabon na Ivory Coast zimepiga marufuku aina hiyo ya utapeli.
Jinsi Waafrika wanavyolengwa na ulaghai wa biashara ya mtandaoni - BBC News Swahili
Biashara ya mtandaoni Crowd1 inayotoa bidhaa kwa wanachama wake, ikiwa na madai kuwa unaweza kuwa tajiri kwa haraka zaidi ukiuza bidhaa hizo kwa wengine.
www.bbc.com