#COVID19 BBC: Uganda yaweka wanajeshi mpakani na Tanzania baada ya watu kutokea Tanzania kugunduliwa na Corona

Ishu kubwa na ya muhimu ni kwamba, watu wataendelea kupiga kazii..kufanya biashara. Hilo ndio la muhimu. Na hao wanajeshi wapo hapo mpakani ili kuhakikisha biashara inafanyika kwa utaratibu hapo mpakani.
Kwani ni nani amesema kwamba watu hawataendelea kuchapa kazi? :confused: Hizi ni wanzuki za jua kali na njaa, sio bure.
 
Hicho ulicho copy paste umekielewa kweli? Kwanza kabisa hamna sehemu nimesema Uganda imekataza Watanzania wasiingie kwao, ila wanaoruhusiwa lazima iwe ni kwa sababu maalum za kibiashara na lazima wapimwe, muingiliano baina ya ndugu mpakani haswa watu wa kabila moja hairuhusiwi tena, na kitendo cha Uganda kuweka jeshi mpakani kinaonyesha walivyo makini kwa hili, hawataki huo uchafu.

Wewe ni msemaji wa serikali ya UG au UPDF? wapi wamesema lazima watu wapimwe? Jambo la msingi watu wanaendelea kuchapa kazi. Sio kama wale waliozuiliwa kuchapa kazi na kupata pesa hapa Bongo.

Nauza malimao na tangawizi. Niungisheni.
 
Kwani ni nani amesema kwamba watu hawataendelea kuchapa kazi? :confused: Hizi ni wanzuki za jua kali na njaa, sio bure.

Teh! Watu wanachapa kazi kama kawaida na jeshi linawahakikishia ulinzi, tofauti na jeshi la nchi fulani badala liwalinde wananchi wake ndio linawapiga na kuwaua kabisa kisa kirusi hofu.
 
IAM not a big fan wa JPM lakini jinsi alivyofanikiwa kutuondolea uoga wa covid 19 anastahili heko, ligi kuu imerudi kuna aliyekufa na corona? Wajinga hao hata ligi walisimamisha.
 
MK254,

Here comes BBC again! Wameshindwa kutuchafua na kutuchanganya on CORONA and COVID - 19 sasa wanakuja kwa njia nyingine. Uganda wakiweka jeshi popote kwenye mpaka wao na nchi yoyote ni haki yao au mlitaka lije Jeshi la Malkia? Maneno yenu ya CHOKOCHOKO tumeyazoea na tunayafahamu na tunajua mnachotaka, ila sisi tunasonga mbele na Maisha yanaendelea. Kama COVID - 19 ipo au haipo MTAJUA WENYEWE!
 
Hehehe!! Hebu wekeni mdahalo baina yao kama jinsi huwa tunafanya huku, sipati picha, ila huyo Tundu Lissu ni bonge la kichaa, ana ujasiri usio wa kawaida, kwa nilivyo mwoga uniondoshe kwenye nchi kwa marisasi yote hayo siwezi kuthubutu kurudi, naihama kabisa na kusahau yalipo makaburi ya wazazi.
Jamaa alivyo mjasiri kaamua kurudi na kuwania urais moja kwa moja.
Tushike lipi Sasa kichaaa au ilo lingine?

Kama ataweza kutufafanulia miga imekuaje apo sawa
 
Mnavokuja hapa kujisifia mnajua kizungu kumbe hamna mnalolijua :D :D :D

Mnateseka bure kwa kweli.
 
Mambo ya mpaka wa Tanzania na uganda yanawahusu nini Wekenya?

Waganda hawacheki na nyie watu maana hawataki kuvuna mabua, wameweka jeshi kabisa, mthubutu kuzamia mchezee kipodo na kurushwa vichura.

Sisi huwa tunawahurumia sana mkilialia.
 
Waganda hawacheki na nyie watu maana hawataki kuvuna mabua, wameweka jeshi kabisa, mthubutu kuzamia mchezee kipodo na kurushwa vichura.

Sisi huwa tunawahurumia sana mkilialia.
We ndo mana unapewaga mitusi unamwaga michozi.

Museveni wala Kagame,wala Burundi wa hapa hapa kwetu hawana huo mpango.
Usichonganishe
 
Waganda hawacheki na nyie watu maana hawataki kuvuna mabua, wameweka jeshi kabisa, mthubutu kuzamia mchezee kipodo na kurushwa vichura.
Sisi huwa tunawahurumia sana mkilialia.
We unaongea nini, juzi tu nilikuwa Uganda kwa demu wangu anafanya kazi kiwanda cha Azam karibu na kiwanda cha nywele bandia za Darling na nimeingia na kutoka fresh tu afu saizi uko hapa kutapika usiyoyajua.
 
We unaongea nini, juzi tu nilikuwa Uganda kwa demu wangu anafanya kazi kiwanda cha Azam karibu na kiwanda cha nywele bandia za Darling na nimeingia na kutoka fresh tu afu saizi uko hapa kutapika usiyoyajua.

Soma taarifa ni za lini, jaribu kuzamia tena.
 
Hiki kipindi cha corona hamna cha heshima wala undugu, Uganda hatanii ameweka jeshi kabisa kuzuia huo uchafu wenu, nakumbuka nilisoma sehemu jinsi Rwanda naye anawazingua sana haswa madereva wenu, Kagame na Museveni ni aina ya vingozi wenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu hadi nimeipenda sana, hawacheki na nyie watu.
hapo mpakani wangekua wanapita wakenya tayari wangeshakula kichapo bt kwa kua ni sisi wababe tunapita bila shida, bado nyinyi tu ndo mnajileta kwenye 18 zetu kuna siku tutawasasambua mpaka mjute nyang'au nyinyi.
 
Wengine wanafunga mipaka..

Wengine wanaweka wanajeshi mipakani..

Wengine wapo bize kutangaza maambukizi mapya, ilhali hawawezi kuwatibu wanaoumwa..

Wengine wanapiga push up..

Huhitaji kujua kwenye hili kati ya TZ, UG, KE na RW nani akili kubwa..
 
Duh we jamaa kweli nimeamin ww sio mkenya yaan hujui english completely !! Title ya uzi wako na article uliyo paste haviendan
 
Back
Top Bottom