magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,370
- 13,032
Nimejaribu kumsoma mara mbili mbili nimetoka kapa. Kanishangaza sana.Watanzania nyie watu wa ajabu sana...hii report inatetea watoto wenu na dada zenu wanaoonewa huko uarabuni still hamtaki kusikia....
Kwa nn serikali isitumie report hii kama base ya kutafuta ukweli kama amuwaamini hao walioiandaa?