You are talking about sheria za kimataifa?! Unataka nilete humu ile video ya wazungu wa Lissu akiwemo Amsterdam na wenzake walichopanga dhidi ya Tanzania...wamepanga kuchochea maandamano na mauaji ili vurugu zitokee na kinachoitwa jumuiya ya kimataifa iitishe mkutano wa usuluhishi na Lissu...wazungu hao wanasema na kuropoka bila aibu kwamba ni lazima damu imwagike Tanzania...kuchomwa kwa ofisi za chadema ni miongoni mwa mikakati hiyo...Ni kweli kabisa, kama ilivyo kampeni za ccm za kuwaleta marais wa nje nyingine kuja kuwaombea kura, kinyume kabisa cha sheria za kimataifa, zinazokatisha nchi moja kutojiingiza kwenye siasa za nchi nyingine.