Kupitia idhaa ya kiswahili ya BBC leo Wakenya wameilalamikia Serikali yao kwa kutumia mwanya wa Corona kukopa pesa nyingi kutoka IMF. Wamesema bila Corona Kenya haikopesheki na hivyo kuendelea kuongeza mzigo wa madeni kwa vizazi vijavyo vya Kenya.
Walioshangilia kuona Kenya, Uganda kupata mikopo sasa waone hii na tujadili.
Chanzo: BBC SWAHILI leo 12 May, 2020.
Walioshangilia kuona Kenya, Uganda kupata mikopo sasa waone hii na tujadili.
Chanzo: BBC SWAHILI leo 12 May, 2020.