sasa hivi bbc radio imeshuka kiwango sio bbc ile ya miaka ya kipindi cha nyuma, yani ni kucheka cheka tu mda wote hawana story za msingi
Wamebaki na udaku tu! Hawana wachunguzi wala wachambuzi wa habari, hakika imekuwa radio hovyo kabisa!sasa hivi bbc radio imeshuka kiwango sio bbc ile ya miaka ya kipindi cha nyuma, yani ni kucheka cheka tu mda wote hawana story za msingi
Kabla sijafungua huu Uzi.....Wameripoti vibaya ishu za Airbus nini?
MhhhKabla sijafungua huu Uzi.....
Nilihisi kama ulivyoandika
sasa hivi bbc radio imeshuka kiwango sio bbc ile ya miaka ya kipindi cha nyuma, yani ni kucheka cheka tu mda wote hawana story za msingi