Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
Karibu Wakenya milioni 2.6 tayari wana virusi vya corona, wanasayansi wameeleza baada ya kupima damu iliyotolewa kwa ajili ya protini inayotumika kwenye mfumo kinga.
Protini hiyo (antibody) hutengenezwa na mwili kwa ajili ya kushambulia virusi na bakteria, na uwepo wake kwenye damu unaashiria kuwa mtu huyo hakuwahi kuwa na maambukizi- hata kama mtu huyo hakuwahi kuonesha dalili.
Watafiti kutoka Taasisi ya utafiti wa tiba nchini Kenya wameunga mkono mfuko wa kuchangia damu uliofanyika nchi nzima kati ya mwezi Aprili tarehe 30 na tarehe 16 Juni.
''Kupimwa kwa antibodies kumeonesha kuwa Wakenya wengi tayari wamepata maambukizi kuliko ilivyokuwa ikibainika katika shughuli za upimaji nchini humo.,'' Ilieleza taasisi ya Kemri mapema wiki hii ikinukuliwa nan a gazeti la the Star nchini Kenya.
Virusi vya corona: Utafiti wabaini Wakenya karibu milioni 2.6 wameugua Covid-19 - BBC News Swahili
Protini hiyo (antibody) hutengenezwa na mwili kwa ajili ya kushambulia virusi na bakteria, na uwepo wake kwenye damu unaashiria kuwa mtu huyo hakuwahi kuwa na maambukizi- hata kama mtu huyo hakuwahi kuonesha dalili.
Watafiti kutoka Taasisi ya utafiti wa tiba nchini Kenya wameunga mkono mfuko wa kuchangia damu uliofanyika nchi nzima kati ya mwezi Aprili tarehe 30 na tarehe 16 Juni.
''Kupimwa kwa antibodies kumeonesha kuwa Wakenya wengi tayari wamepata maambukizi kuliko ilivyokuwa ikibainika katika shughuli za upimaji nchini humo.,'' Ilieleza taasisi ya Kemri mapema wiki hii ikinukuliwa nan a gazeti la the Star nchini Kenya.
Virusi vya corona: Utafiti wabaini Wakenya karibu milioni 2.6 wameugua Covid-19 - BBC News Swahili